Aliyemdanganya Zitto kuasisi uasi huo alikuwa rafiki yake mkuu, mwanazuoni na mwana usalama ndugu Kitila Mkumbo, mambo yalivyobumburuka Kitila akarudi kwake CCM kama mnavyoona jamaa sasa hivi anakula kiyoyozi 24/7.
Zitto na yeye kwa sababu ya aibu ya kiubinadamu akaaamua kuanzisha chama chake, laiti angefuata ushauri wa wazee wakati huo kwa sasa who knows may be angekuwa Mwenyekiti wa chama sasa hivi.
Kipindi hicho Dr. Slaa alikuwa mtiifu wa chama 100% na Katibu mkuu Jembe aliyeasisi CDM ni msingi kabla hajapatwa na maswahibu ya kidunia.
Zitto na yeye kwa sababu ya aibu ya kiubinadamu akaaamua kuanzisha chama chake, laiti angefuata ushauri wa wazee wakati huo kwa sasa who knows may be angekuwa Mwenyekiti wa chama sasa hivi.
Kipindi hicho Dr. Slaa alikuwa mtiifu wa chama 100% na Katibu mkuu Jembe aliyeasisi CDM ni msingi kabla hajapatwa na maswahibu ya kidunia.