Zitto Kabwe akutana na Keneth Kaunda - Lusaka Zambia

Sii wewe pekee ningewaomba vijana wote wanaotaka kuingia siasa wajaribu sana kukutana na viongozi wa zamani wapate kujua undani wa siasa, mitandao, nafasi zao, nguvu ya dola, majukumu na uwajibikaji kwa wananchi...

Leo hii wapo wabunge kwetu hawajui kwamba unapotaka kujengewa mradi jimboni inabidi ufanye ziara kwa waziri mhusika mara kwa mara na sii kusubiri lini serikali itachagua jimbo lako. Ndio maana utaona kuna wabunge wachache wanafanya vizuri kuliko wengi wanaolala tu bungeni wakibeba madigrii yao mkobani..
lakini ni kweli hao viongozi wetu wanakuwa hawajui nini wanapaswa wafanye? mimi nadhani wengi huwa wanajua ndo maana kule kwenye kampeni wanajitahidi kutueleza nini watafanya ila wakishakamata rungu wanajifanya hawajui cha kufanya.
 
Mbona Zitto mwenyewe mnyonyaji? Huyu si anahongwa na mashirika ya umma yanayofuja fedha za wananchi kama BOT, NSSF, TANAPA na hata baadhi ya mafisadi ndiyo marafiki zake wakuu - RA and MKONO.

Ni vizuri ilitoa tuhuma dhidi ya mtu uweke basi chembe ya ushahidi. Sijawahi kuhongwa na Shirika lolote la Umma ndio maana ninayakosoa mashirika bila woga. Sijawahi kuhongwa na Kama una ushahidi uweke hadharani au upelekee TAKUKURU na ikithibitika nitawajibika.

Mkono hajawahi kunihonga. Mkono ni mzee wangu. Nimefanya kazi kwake Kama intern wakati nasoma kuhusu mikataba ya Madini na Mafuta. Siwezi kuacha urafiki na mtu kwa kuwa tu ametuhumiwa wa ufisadi.

Rostam Aziz alikuwa mbunge mwenzangu na nimeshasema hapa nimekuwa nikiwasialiana naye sana Kama Mbunge na Kujadiliana naye mambo mengi tu. Hajawahi kunihonga. Hajawahi Kujadiliana na mimi lolote kuhusu chama changu wala chama chake. Rostam Aziz nimetambukishwa kwake kupitia Mwenyekiti wangu wa chama ndugu Mbowe. Urafiki wangu naye imetoka kwa Mbowe maana sikumjua kabla.

Haya majungu haya yameshachacha. Kubenea kayasema wee lakini wananchi bado wana imani kubwa sana na mimi. Tafuteni majungu Mapya.

Siku zote uwongo una lifespan. Ukweli hudumu milele. Tufanyeni kazi kujenga nchi. Tupambane na ufisadi kwa dhati sio kwa kuchagua majina ya watu. Ufisadi ni ufisadi tu hakuna tofauti katakana na nani kafanya ufisadi huo.

Siasa za majungu hazijengi. Wazungu walisema, what comes around goes around.

Ninayasimamia Mashirika ya Umma kwa dhati kwa mujibu wa majukumu yangu. Hata CCM wanatafuta sana mahala pa kunishika Kama nimekula rushwa huko kwenye mashirika hawana pa kunishika. Wanaendelea kutafuta. Ninajiamini.

Kuelekea 2015 tutasikia mengi sana

Zitto
 
Ni vizuri ilitoa tuhuma dhidi ya mtu uweke basi chembe ya ushahidi. Sijawahi kuhongwa na Shirika lolote la Umma ndio maana ninayakosoa mashirika bila woga. Sijawahi kuhongwa na Kama una ushahidi uweke hadharani au upelekee TAKUKURU na ikithibitika nitawajibika.

Mkono hajawahi kunihonga. Mkono ni mzee wangu. Nimefanya kazi kwake Kama intern wakati nasoma kuhusu mikataba ya Madini na Mafuta. Siwezi kuacha urafiki na mtu kwa kuwa tu ametuhumiwa wa ufisadi.

Rostam Aziz alikuwa mbunge mwenzangu na nimeshasema hapa nimekuwa nikiwasialiana naye sana Kama Mbunge na Kujadiliana naye mambo mengi tu. Hajawahi kunihonga. Hajawahi Kujadiliana na mimi lolote kuhusu chama changu wala chama chake. Rostam Aziz nimetambukishwa kwake kupitia Mwenyekiti wangu wa chama ndugu Mbowe. Urafiki wangu naye imetoka kwa Mbowe maana sikumjua kabla.

Haya majungu haya yameshachacha. Kubenea kayasema wee lakini wananchi bado wana imani kubwa sana na mimi. Tafuteni majungu Mapya.

Siku zote uwongo una lifespan. Ukweli hudumu milele. Tufanyeni kazi kujenga nchi. Tupambane na ufisadi kwa dhati sio kwa kuchagua majina ya watu. Ufisadi ni ufisadi tu hakuna tofauti katakana na nani kafanya ufisadi huo.

Siasa za majungu hazijengi. Wazungu walisema, what comes around goes around.

Ninayasimamia Mashirika ya Umma kwa dhati kwa mujibu wa majukumu yangu. Hata CCM wanatafuta sana mahala pa kunishika Kama nimekula rushwa huko kwenye mashirika hawana pa kunishika. Wanaendelea kutafuta. Ninajiamini.

Kuelekea 2015 tutasikia mengi sana

Zitto
Mkuu wangu tumeyasikia mengi ya mujini na tunawajua wanaotumiwa tena kibaya zaidi wao ndio wanachukua toka CCM wengine kwa Lowassa na wengine kwa Rostam ili jina la Zitto litajwe tajwe sana kuvunja nguvu ya mshikamano na yapo majinga fulani humu tena watu wa CDM ndio wanapenda sana kujikomba...
 
Ni vizuri ilitoa tuhuma dhidi ya mtu uweke basi chembe ya ushahidi. Sijawahi kuhongwa na Shirika lolote la Umma ndio maana ninayakosoa mashirika bila woga. Sijawahi kuhongwa na Kama una ushahidi uweke hadharani au upelekee TAKUKURU na ikithibitika nitawajibika.

Mkono hajawahi kunihonga. Mkono ni mzee wangu. Nimefanya kazi kwake Kama intern wakati nasoma kuhusu mikataba ya Madini na Mafuta. Siwezi kuacha urafiki na mtu kwa kuwa tu ametuhumiwa wa ufisadi.

Rostam Aziz alikuwa mbunge mwenzangu na nimeshasema hapa nimekuwa nikiwasialiana naye sana Kama Mbunge na Kujadiliana naye mambo mengi tu. Hajawahi kunihonga. Hajawahi Kujadiliana na mimi lolote kuhusu chama changu wala chama chake. Rostam Aziz nimetambukishwa kwake kupitia Mwenyekiti wangu wa chama ndugu Mbowe. Urafiki wangu naye imetoka kwa Mbowe maana sikumjua kabla.

Haya majungu haya yameshachacha. Kubenea kayasema wee lakini wananchi bado wana imani kubwa sana na mimi. Tafuteni majungu Mapya.

Siku zote uwongo una lifespan. Ukweli hudumu milele. Tufanyeni kazi kujenga nchi. Tupambane na ufisadi kwa dhati sio kwa kuchagua majina ya watu. Ufisadi ni ufisadi tu hakuna tofauti katakana na nani kafanya ufisadi huo.

Siasa za majungu hazijengi. Wazungu walisema, what comes around goes around.

Ninayasimamia Mashirika ya Umma kwa dhati kwa mujibu wa majukumu yangu. Hata CCM wanatafuta sana mahala pa kunishika Kama nimekula rushwa huko kwenye mashirika hawana pa kunishika. Wanaendelea kutafuta. Ninajiamini.

Kuelekea 2015 tutasikia mengi sana

Zitto

Courageous as you are......keep going brother a lot are being said and you are the only authority to prove otherwise.....as you said, the 2015 rallies will have a lot to be said and to be seen...

My advice; Just be care that political carreer and its reflexion doesnt end in the Parliament or Political debates (as being thought by many politicians) rather a lot of people are out here; politicaly not active but are good analyst of movements and political whims, You aint gonna loose anything by taking into account every rumour and heresays. By responding in here a distinction is tracing its course
 
I had say this before and i say it now.. we are the one to build our own nation and destiny of our people.. I believed in African Union but not any more as it cant stand to protect any one who is not American friend.. See what they do to Libya....

Zitto might be a good leader only time will tell but together we are responsible to finish our future.
 
Safi sana Kamanda!

Ikiwezekana tembelea kwingineko usiishie hapo tu!
Jijenge Kamanda wetu!

Na ningependa sana mwishoni mwa kampeni uwe umerudi na kutua Arumeru Mashariki na umalize kazi pale!
VIVA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO!!

Pamoja Daima!
 
Kazi nzuri Zitto kinachopiganiwa si maslahi ya Chadema bali watanzania wote; hata kama kuna tofauti ya itikadi za kisiasa utanzania mbele na hicho ndicho kinachotakiwa kufanywa na wanasiasa wetu; hizi siasa za ubinafsi ndizo zilizoleta machafuko mengi ndani ya bara letu la Afrika. Endelea kujifunza kutoka kwa viongozi waliokuwa wazalendo halisi wa Afrika.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Political thuggery among (up and coming leaders) as one of the social ills that our fallen continent and world continues to suffer from today, is as hard to isolate and pin down just as every other demonic inspired forms of wickedness, Unless you are endowed with enlightened sence of capability to isolate and sort out carefully veiled forms of deeply inculcated evils, you are bound to fall into the same trap like what happened in well known dictatorial societies recorded several decades before our own Generation..................
 
Sii wewe pekee ningewaomba vijana wote wanaotaka kuingia siasa wajaribu sana kukutana na viongozi wa zamani wapate kujua undani wa siasa, mitandao, nafasi zao, nguvu ya dola, majukumu na uwajibikaji kwa wananchi...

Leo hii wapo wabunge kwetu hawajui kwamba unapotaka kujengewa mradi jimboni inabidi ufanye ziara kwa waziri mhusika mara kwa mara na sii kusubiri lini serikali itachagua jimbo lako. Ndio maana utaona kuna wabunge wachache wanafanya vizuri kuliko wengi wanaolala tu bungeni wakibeba madigrii yao mkobani..

Mkuu wangu Mkandara, thanks for this challenge you have brought forward as a result of ZITTO's efforts we all see! Wabunge wetu wengi ni wa kuvutwa; kuitwa na kuahidiwa mengi baada ya ubunge! Mimi namfahamu mtu ambaye ameingia huko! Hana lolote zaidi ya kusubiri vikao vya bunge!! Anapita pita kwenye halmashauri na kuchimbia watu mikwara ali muradi wamfahamu! In short wabunge wengi wa wabunge hawana leadership skills! Wanajiendea endea tu!

Tumeanza kuona tofauti this time, CDM wameonyesha kuleta watu makini, vijana wenye uzalendo! I am sure mambo yatabadilika tu! Ila ni kweli vijana kwa ujumla wanaingia kwenye sisasa kwa ajili ya fata mkumbo tu, waningia kutumiwa kulinda maslahi ya watu! Wabunge wetu wengi, hasa wa CCM, uelewa ni mdogo kupita kiasi!!!

Keep it up Zitto!!
 
Back
Top Bottom