Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hapo kwenye korosho huyu jamaa alaniwe kabisaSiasa za Kikomunisti za Magufuli zawaliza wakulima wa Korosho.
Wakulima warudishiwa korosho zikiwa zimeoza.
Wakulima wengine Hawajalipwa hata senti tano
Huku wakuu wa Mikoa wakisindikiza Ndege tupu na kwenda Kufanya Shopping Lusaka na Harare.
Hebu elezea Vizuri, Warudishe pesa kwa nini?Waliokuwa waishalipwa waambiwa warudishe pesa. Y kupata visa ivi tembelea Magogoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Zitto na TL wanapiga mbwa rangi tu wazungu si wajinga kihivyo. Watahangaika sana lkn watambulia patupu.Safi sana, Rumble in the Jungle!
Piga uppercut, mawashi geli, round kick, jabs ilimradi Udikteta wa Jiwe uwe neutralized!
Jiwe kaikuta Tanzania ikijaribu kujenga demokrasia yake na tutamkatalia kutaka kuifanya nchi yetu iwe ya kidikteta!
Ni Jukumu la kila mtanzania kupinga udikteta popte pale alipo katika dunia hii!
Safi sana Zitto, very good interview
Utukufu wa Mungu yupi jamani? Mungu hakumbatii unafiki kama mnavyodhani nyie wanasiasa. Zitto ni mnafiki mkubwa. Ni kati ya wanasiasa ambao ni hatari kupewa madaraka ya juu.Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !