OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,074
- 103,284
Kupitia mtandao wa Kijamii, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto amehoji ukimya wa matokeo ya uchunguzi wa ubovu wa vipimo ya Maabara Kuu ya Taifa baada ya Kumsimamisha Dkt. Nyambura baada ya mbuzi, mapapai nk kukutwa na COVID 19
Baada ya uchunguzi kukamilika tulitegemea haraka sana tupewe majibu ya ripoti. Lakini kimya kizito kimetanda.
Huu ukimya unaashiria nini?Ukizingatia kutokana na "hujuma" za mabeberu tusingetegemea kuchelewa kutangaziwa "ubovu" na "uozo" uliogunduliwa na timu ya uchunguzi.
Huu ukimya unaashiria nini?Ukizingatia kutokana na "hujuma" za mabeberu tusingetegemea kuchelewa kutangaziwa "ubovu" na "uozo" uliogunduliwa na timu ya uchunguzi.