NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 365
Kwa kile kinachoonesha Madiwani kumchoka Zitto Kabwe, Wamchana wazi Jioni hii kwenye Ofisi za ACT Wazalendo Kigoma ujiji ambayo ni Makao Makuuu ya ACT Wazalendo Mkoa wa Kigoma, kuwa wamemchoka kwa tabia yake ya kudai 10% kwa migongo ya Madiwani lakini Mwishowe anaishia kuwapatia Madiwani wachache.
Kutokana na Hali hiyo wamepanga kuhakikisha Meya anavuliwa umeya na hawatopokea tena ushauri wa Zitto kwa kile kinachodaiwa kuwa Zitto Kabwe anakipaji cha kudanganya haswa kwa kutumia kikosi cha Wataalam 50 wa ramli.
Wameapa hawatomsikiliza tena Zitto ameshikwa panyewe.
Update: Anawalilia Madiwani Wamsamehe kwa yote yaliyotokea ili kukinusuru chama yasitokee kama ya DSM akieleza kuwa Chama chao ni Kichanga kina Malengo Makubwa. Acha kulia brother sindano ikuingie. Umehujumu sana miradi ya wanakigoma. Unawachonganisha wanakigoma na Serikali ili wawachukie wasilete Maendeleo ili kwenu Burundi kuonekane Bora kuliko Tz kwa upande wa Kigoma tumekustukia go go Zitto we tired with your poor mission
Kutokana na Hali hiyo wamepanga kuhakikisha Meya anavuliwa umeya na hawatopokea tena ushauri wa Zitto kwa kile kinachodaiwa kuwa Zitto Kabwe anakipaji cha kudanganya haswa kwa kutumia kikosi cha Wataalam 50 wa ramli.
Wameapa hawatomsikiliza tena Zitto ameshikwa panyewe.
Update: Anawalilia Madiwani Wamsamehe kwa yote yaliyotokea ili kukinusuru chama yasitokee kama ya DSM akieleza kuwa Chama chao ni Kichanga kina Malengo Makubwa. Acha kulia brother sindano ikuingie. Umehujumu sana miradi ya wanakigoma. Unawachonganisha wanakigoma na Serikali ili wawachukie wasilete Maendeleo ili kwenu Burundi kuonekane Bora kuliko Tz kwa upande wa Kigoma tumekustukia go go Zitto we tired with your poor mission