NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 365
- Thread starter
- #21
Mbunge eti anatembea kwa kurudish matak nje duuu
Mbunge eti anatembea kwa kurudish matak nje duuu
Hii habari imekaa kiumbeaumbea sana utadhani aliyeandika ametoka kwenye mzunguko wa hedhi hivi majuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye jina takatifu then unalinajisi kwa uovu ni sawa na kufuru!Ukisikia mamaaaaaaa ujue jiwe limedungua kitu gizani
5. Ni watu wa majungu, fitina na kujipendekeza ili waonekane bora!1. Waha hawapendani
2. Waha ni wajuaji
3. Waha ni wabishi
4. Waha ni washirikina
5. Waha ni ..................
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini mkurya akawa Meya wa Dar? Mbona mnaleta uchuro?Mi CCM bwana!! Kwa hio mnataka kumuondoa na meya wa kigoma ujiji ili muonekane miamba sio? Mlianza Iringa jamaa akakataa kununuliwa kama mfugo, mkaenda Arusha akafika bei, mkaelekea Dar sijui mkuria yule mlimpa dau dogo maana alikua na elements za kuunga mkono juhudi hatimae mkashindwana mkaamua kumuondoa kwa hila (illegally). Sasa naona Bashiru Ally amekuja huko kuhakikisha meya wa huko anaondolewa!!!!!
Ipo siku haya yataisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani ni Mnyakyusa wa kuokoteza kama wewe unavyojiita Mnyakyusa kwakuwa ulisaidiwa kulifungua bichwa lako kitaaluma.Wenye jina takatifu then unalinajisi kwa uovu ni sawa na kufuru!
Wanyakyusa wapumbavu ni wachache saana. Wengiwao itapiamlo uliwapitia!
Sina maana natoa Ubaguzi Kiongozi, Mtu akiwa na tabia ya Mimi nifanikishe kwa Wazazi Wangu kuonekane Bora kuliko kwa Watanzania wanaopakana na kwenu kwa asili ambako ndiko kwa Wazazi wako huoni kama ni hujuma kwa Watanzania wasio na hatia.Ungeleta taarifa yako bila kuweka mambo ya ubaguzi wa ukabila bado ingeeleweka. Kusema Zitto ni Mrundi huku huna uthibitisho inaonyesha una chuki binafsi dhidi yake. Tena tukianza kuchimbuana nani katoka Burundi, nani Mnyarwanda nani Mmakonde wa Msumbiji nani Msomali basi utaona hata viongozi fulani wakubwa tu wa nchi hii sio Watanzania
Ben Bella MemberHii habari imekaa kiumbeaumbea sana utadhani aliyeandika ametoka kwenye mzunguko wa hedhi hivi majuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mwingi kuliko uhalisia. Hizo rushwa zote na kuna takukuru kwanini amjamlengesha akamatwe akiomba na kupokea rushwa?.maana kwa maelezo yako rushwa ni za wazi na isingekuwa kazi kubwa kumkamatisha. Ila mkuu jiepushe na ule upumbavu wa kusema ni mrundi unajidhalilisha sana.Sina maana natoa Ubaguzi Kiongozi, Mtu akiwa na tabia ya Mimi nifanikishe kwa Wazazi Wangu kuonekane Bora kuliko kwa Watanzania wanaopakana na kwenu kwa asili ambako ndiko kwa Wazazi wako huoni kama ni hujuma kwa Watanzania wasio na hatia.
Kama ni kosa kumweleza mtu ukweli naomba nisamehewe kwa hilo kwasababu wote ni Waafrika, na Waafrika hatujafikia huko. Tunapendana ila Zitto Kabwe alikofikia lazima arudishwe kwenye reli. Maaana anajua kuingia kwenye siasa ni wakati wakutengeneza story harafu baadae anaenda kuomba rushwa Waulize waliye naye Bungeni, na amewafanyia hivyo mapaka Madiwani wa Manispaa ya Kigoma bila Huruma. Ameenda kwa Wakandarasi wa Kichina kavuta, Aliyefilisika wa Mradi wa Maji wa Spenconi alivuta Mpaka Jamaa alifirisika, kuna Makandarasi wa Barabara ya Posta hadi Gungu, Kibirizi, Kalalangabho, Bangwe kamara amevuta mpaka miradi imetekelezwa chini ya kiwango na Mradi wa Maji mpaka sasa unasuasua ila JPM amechukua hatua ya kusaidia Wananchi wa Kigoma Kigoma Manispaa. Na hata Fedha alizotoa JPM kwa Mkandarasi Mpya naye anamwomba 10%. Sasa hapo Jamani Mimi Mnyakyusa kama mnavyosema nimekosea wapi.
Njoo Kigoma Vijijini amejimilikisha maeneo ya Madini eneo kubwaaaa Lengo eti aje alipwe fidia. Huyu Kabw anajifanya Mzalendo ila hafai nenda kawaulize Madiwani wa ACT Wazalendo Kigoma ujiji utaelewa. Mama Anna Mgwira alimkimbia anamjua Zitto ni hatariii zaidi ya unavyoelewa.
Nitawarushia siku uozo wake kwenye Kikundi waliokuwa wanajiita Kigogo 14 , sijui Wamewaibia watu hao kwa kutumia akaunti feki.
Naona Mwisho tutaelewana baada ya pa Madiwani kumtandika Fimbo.
Mkuu hapo kumtaja Mrundi nimekosea na naomba Msamaha maana vyaubaguzi siyo vizuri, ila Takukuru wanaweza wakaanzia hapo. Ila kumkuta Zitt kwenye chain direct ni ngumu sana kutokana na ubobezi wake kwenye mambo hayo.Ujinga mwingi kuliko uhalisia. Hizo rushwa zote na kuna takukuru kwanini amjamlengesha akamatwe akiomba na kupokea rushwa?.maana kwa maelezo yako rushwa ni za wazi na isingekuwa kazi kubwa kumkamatisha. Ila mkuu jiepushe na ule upumbavu wa kusema ni mrundi unajidhalilisha sana.
Endelea na upudetisi nyingine, sisi tunasubiri.Update: Anawalilia Madiwani Wamsamehe kwa yote yaliyotokea ili kukinusuru chama yasitokee kama ya DSM akieleza kuwa Chama chao ni Kichanga kina Malengo Makubwa. ππππ Acha kulia brother sindano ikuingie. Umehujumu sana miradi ya wanakigoma. Unawachonganisha wanakigoma na Serikali ili wawachukie wasilete Maendeleo ili kwenu Burundi kuonekane Bora kuliko Tz kwa upande wa Kigoma tumekustukia πππππ go go Zitto we tired with your poor mission
Meya Aliomba Milioni 10 kwa Mtendaji wa Serikali eti atakatwa kwenye pension eti abakie na Umeya. Hivi Meya analipwa shiling ngapi
Punguza kujifanya Mjuaji Wakati Haujui lolote.Meya Aliomba Milioni 10 kwa Mtendaji wa Serikali eti atakatwa kwenye pension eti abakie na Umeya. Hivi Meya analipwa shiling ngapi
Jifunze kuandika kwa Usahihi.Unadhani ni Mnyakyusa wa kuokoteza kama wewe unavyojiita Mnyakyusa kwakuwa ulisaidiwa kulifungua bichwa lako kitaaluma.
Hauelewi kilichompata ndugu yako Usiku kucha anahaha haelewi alale wapi, Anywe wapi, asaidiwe na nani maana aliokuwa nao hakuna hata wa kumshauri cha kufanya.
Usiku alishifika Coast view bar akiwa na Wilson Awimo Mogha, ambaye ni Mundari wa Mbeya akiwa na vibaka 03. Alikuwa amevaa Surua ya kaki nyeupe kutwa anachati na kulalamika na anacholalamikia eti ametengwa.
Zitto people are tired , Sera zako zilezile huna hata jipya.
Hata kama umemtongoza Mwanamke siku ya kwanza nakununulia gari, hujatimiza ahadi siku Nyingine unamdanya nakununulia nyumba hujatimiza unaenda tena nitakuletea hela hujatimiza, nivumilie kesho nitawasaidia huduma ya Usafiri na hujatimiza, unapanga uongo Mwingine, nani atakuelewa.
Zitto Kabwe ni Muongo kwelikwel na si wa kumuamini.
NB: Kikolo twe bhanyakyusa tusimenye isyanaloli fijho, aseee leka nkwifanya numwe bhanyafyale bho mulibhajhanga bha mwighurusi.
Zitt Kabw amebanwa kila kona hoi
Nimekuelewa Mkuu.ila kwangu uwa sizielewi hizi taasisi za kupambana na rushwa kwa kushindwa kumkamata mtu ambaye kwa jinsi unavyomtuhumu zito aiwezi kuwa ngumu kumkamata.na kwa jinsi ya maelezo yako inaonekana na unakiri Mh Zito akili kubwa.na TL nini kilishindikana mpaka zikapigwa zile 38.na Mungu kukataa nia zenu mbayaMbo
Mkuu hapo kumtaja Mrundi nimekosea na naomba Msamaha maana vyaubaguzi siyo vizuri, ila Takukuru wanaweza wakaanzia hapo. Ila kumkuta Zitt kwenye chain direct ni ngumu sana kutokana na ubobezi wake kwenye mambo hayo.
Wewe Jaribu kukumbuka kwenye issue za mikataba ya Madini alipopiga kwa kushirikiana na TL alikamatwa kwani au, Issue ya Miradi ya TSCP, Ujenzi wa mialo n.k . Labda Washaur ndugu hao waanze kwenye miradi iliyofail Kigoma lazima watapata kitu.
Tunayeishi na kufanya shughuli naye ndo tunaelewa. Ukifika Muda yatamwagwa hadharani maana tumeuchoka ujanjajanja wake
Mkuu Zitto atuhumiwi ni Kweli kama huamini Mtafute Kalama, Kalyango, Kacheche, Meya, Wakandarasi wa Kichina, Mmiliki wa Mradi wa Maji wa Spencon, Waliojenga barabara zenye kiwango ovyo, Waliojenga shule ya Msingi Kigoma karibu stesheni ya Reli Kigoma, Wananchi wa Kitongoni na Mengine ngoja niweke akiba asipoomba Msamaha kwa Madiwani nitamlipua zaidi ya alivyokuwa anafanya Mwanaharakati wa Wakujitegemea.Nimekuelewa Mkuu.ila kwangu uwa sizielewi hizi taasisi za kupambana na rushwa kwa kushindwa kumkamata mtu ambaye kwa jinsi unavyomtuhumu zito aiwezi kuwa ngumu kumkamata.na kwa jinsi ya maelezo yako inaonekana na unakiri Mh Zito akili kubwa.na TL nini kilishindikana mpaka zikapigwa zile 38.na Mungu kukataa nia zenu mbaya