johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,761
- 141,626
Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amesema chama chake hakijafanya mazungumzo yoyote na mzee Sumaye kuhusu Waziri mkuu mstaafu huyo kujiunga na chama chao.
Zitto amesema mzee Sumaye ameweka wazi msimamo wake wa kupumzika siasa za vyama na kwamba atabakia kuwa mshauri kwa vyama vyote bila kujali itikadi.
Zitto amesisitiza kuwa wataendelea kuuthamini mchango wa mzee Sumaye kwani huo ndio utamaduni wa ACT wazalendo kuwaenzi wastaafu na kwamba watamwendea kwa ushauri itakapobidi.
Source ITV habari!
Zitto amesema mzee Sumaye ameweka wazi msimamo wake wa kupumzika siasa za vyama na kwamba atabakia kuwa mshauri kwa vyama vyote bila kujali itikadi.
Zitto amesisitiza kuwa wataendelea kuuthamini mchango wa mzee Sumaye kwani huo ndio utamaduni wa ACT wazalendo kuwaenzi wastaafu na kwamba watamwendea kwa ushauri itakapobidi.
Source ITV habari!