Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,153
- 45,835
Punguza jazba Boss, nimeandika utani tu, usichukulie kila jambo ni la ugomvi au chuki.Mpelekee ya mkeo au mwanao kama tu ametimiza umri wa kuolewa.
Punguza jazba Boss, nimeandika utani tu, usichukulie kila jambo ni la ugomvi au chuki.Mpelekee ya mkeo au mwanao kama tu ametimiza umri wa kuolewa.
We jamaa ni kiazi aiseeOfisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA imekaa kishamba sana! Ndo maana kumbe CHADEMA hamna mikakati ya maana! Nchi inaweza kuchukuliwa na watu wanaopanga mikakati katika mazingira ya kishamba namna hii!
Halafu na hiyo picha iliyowekwa kwenye frem ya pembetatu ina ashiria nini? Ni Freemason au?
Portrait speaks a thousand words! Chinese proverb!
Wanasiasa wa upinzani Tanzania wapuuzi sana! Angalia hata dress code zao! Zero kabisa!
Hawa ndo wapewe Nchi watuongoze! Mtasubiri sana!
Duh! Mbona una hasira hivi bro? Ahahaha sema sikujua kama dogo muabudu shetaniOfisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA imekaa kishamba sana! Ndo maana kumbe CHADEMA hamna mikakati ya maana! Nchi inaweza kuchukuliwa na watu wanaopanga mikakati katika mazingira ya kishamba namna hii!
Halafu na hiyo picha iliyowekwa kwenye frem ya pembetatu ina ashiria nini? Ni Freemason au?
Portrait speaks a thousand words! Chinese proverb!
Wanasiasa wa upinzani Tanzania wapuuzi sana! Angalia hata dress code zao! Zero kabisa!
Hawa ndo wapewe Nchi watuongoze! Mtasubiri sana!
1.Mnyika alitakiwa naye atoe kiwiko cha mkono wa kushoto (dalili ya udhaifu).socially medias
Wewe mbona unaumia na vitu vyepes ,mbona kwenu mmetundika picha, ACHA izo mkuuKitendo cha kutundika picha yako ofisini ni kama kusave picha yako kwenye screensaver ya simu yako
Au yawezekana mwenye picha hajui maana ya frame yenye design ya namna hiyo( udhaifu)Halafu na hiyo picha iliyowekwa kwenye frem ya pembetatu ina ashiria nini? Ni Freemason au?
Portrait speaks a thousand words! Chinese proverb!
Ofisi yangu tu hapa Mwanduhitinje ni nzuri kuliko hiyo ya CHADEMA iliyokwisha pokea ruzuku na misaada kwa mabilioni! Halafu mtu ana matumaini eti hao wabadhirifu wakichukua Nchi eti hali itaboreka!Au yawezekana mwenye picha hajui maana ya frame yenye design ya namna hiyo( udhaifu)
Kuna harufu ya mgeni kwenda kumuumbua mwenyeji.
Siku si nyingi twaweza kuona picha za ofisi za chama cha mgeni!
Jadili hoja nasio mbwembwe zingine1.Mnyika alitakiwa naye atoe kiwiko cha mkono wa kushoto (dalili ya udhaifu).
2.Hiyo frame ya picha ukutani nyuma ya John, design yake inatoa tafsiri isiyo ya kawaida na inaibua maswali mengi ya kiuchunguzi.
3. Sehemu ilipowekwa AC inashawishi ufuatiliaji wa weledi wa fundi aliyeisimika mahali hapo
4. Zitto ameacha kufanya mazoezi ama ameacha kufutatilia mpagilio wa baadhi ya mambo katika ushibaji.
5. Kama hii ni ofisi ya katibu mkuu wa chama kuna tatizo na ndiyo maana mgeni kulazimika kuvaa barakao muda wote akiwa kwenye ofisi hiyo.
=====
Karibu tudadavue picha.
Wewe unadhani Ruyagwa atadhibiti kuchambukachambuka kwa upinzani!?Jadili hoja nasio mbwembwe zingine
Ndio utoe hoja kwanini ashindwe na afanye nini ili afanikiweWewe unadhani Ruyagwa atadhibiti kuchambukachambuka kwa upinzani!?
Ndio utoe hoja kwanini ashindwe na afanye nini ili afanikiweWewe unadhani Ruyagwa atadhibiti kuchambukachambuka kwa upinzani!?
Kwani kuna shida mkuu?Kitendo cha kutundika picha yako ofisini ni kama kusave picha yako kwenye screensaver ya simu yako
Ulahaze inzoga?Hueleweki!