Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Mara baada ya wewe ku-post ulicho-post facebook juzi,nilijua tu utashambuliwa kama mpira wa kona na hiki ndio kimeanza kujidhihirisha sasa na mashambulizi haya huenda yanapangwa na watu maalumu kwa kazi maalumu.
Nachukua nafasi hii kukuomba ujiandae kisaikolojia kwa mashambulizi makali ya kupanga huko mjengoni na ujue ukishindwa kuji-control tu basi nawe utapigwa "ban" usiingie kwenye hilo jumba kwa muda ambao wao wataona unafaa. .
Hoja yangu hapa ni kuwa,pamoja na mashambuli haya, bado unaweza kuwa provoked huko Mjengoni kwa makusudi kabisa ili hasira zikupande alafu utoe lugha ya kuudhi kisha wakushughulikie.
"Tanzania nilikupenda sana ila Mafisadi walikupenda zaidi."
Nachukua nafasi hii kukuomba ujiandae kisaikolojia kwa mashambulizi makali ya kupanga huko mjengoni na ujue ukishindwa kuji-control tu basi nawe utapigwa "ban" usiingie kwenye hilo jumba kwa muda ambao wao wataona unafaa. .
Hoja yangu hapa ni kuwa,pamoja na mashambuli haya, bado unaweza kuwa provoked huko Mjengoni kwa makusudi kabisa ili hasira zikupande alafu utoe lugha ya kuudhi kisha wakushughulikie.
"Tanzania nilikupenda sana ila Mafisadi walikupenda zaidi."