Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,139
- 20,776
ULA kitu kinachonifanya tena nimshangae huyo mzee JKN ni kwamba, kwanini hakufuta hivyo vifungu vinavyompa power isiyo ya kawaida Rais?Ndo maana mwlm nyerere alisema "mmenipa madaraka makubwa sana anaweza akatokea rais mwingine....."