Zitto in the US

Status
Not open for further replies.

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Ndugu wana JF kijana wetu , mdogo wetu , Mbunge wetu ndugu Zitto yuko US na anapatikana kwa namba hii

+12026646388
 
Ndugu wana JF kijana wetu , mdogo wetu , Mbunge wetu ndugu Zitto yuko US na anapatikana kwa namba hii

+12026646388

Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia CHADEMA.Hongera Mzee Zitto Jumamosi tulionana pale Mlimani..
 
Tafadhali Weka Kule Katika Matangazo

Thanks

wewe eti mchambuzi .Kinyesi tu wewe mtoto huna hata akili .Tangazo hili la Zitto unaumia ? Basi hapa linabaki watu wapate taarifa wakitaka kusema naye wako huru .
 
wewe eti mchambuzi .Kinyesi tu wewe mtoto huna hata akili .Tangazo hili la Zitto unaumia ? Basi hapa linabaki watu wapate taarifa wakitaka kusema naye wako huru .

NDUGU ADMIN

ANGALIA BWANA LUNYUNGU ANAVYONITUSI

NAOMBA MSEME JAMBO HAPA KAMA NI HALALI MTU KUNITUSI HIVI

KWA MARA NYINGINE NAKUSAMEHE NDUGU LUNYUNGU WACHA MATUSI , DHARAU NA VITISHO VYAKO VINGINE

AHSANTE
 
hivi kwanini shy una maadui wengi hivyo? najiuliza sipati jibu labda damu yako ya kunguni.
 
wewe eti mchambuzi .Kinyesi tu wewe mtoto huna hata akili .Tangazo hili la Zitto unaumia ? Basi hapa linabaki watu wapate taarifa wakitaka kusema naye wako huru .

unawakilisha jamii ya wapi?je tukisema chama unachotoka ni cha wahuni na wachochezi utasemaje?si CCM mnasema ni chama cha mafisadi sababu kuna baadhi ya watu ni mafisadi basi tafuta jina zuri la chama chako amblo linaendana na tabia yako.

Zitto yeye i nani asiguswe??kwani kihwa cha habari kina suala la Muhimu??weka katika matangazo madogomadogo.
 
NDUGU ADMIN

ANGALIA BWANA LUNYUNGU ANAVYONITUSI

NAOMBA MSEME JAMBO HAPA KAMA NI HALALI MTU KUNITUSI HIVI

KWA MARA NYINGINE NAKUSAMEHE NDUGU LUNYUNGU WACHA MATUSI , DHARAU NA VITISHO VYAKO VINGINE

AHSANTE

Ukiona hivi ujue nimesha kuchoka na akili zako zilizo kama mavi .Ndiyo nakueleza tunachoka na ujinga wa watu wa aina yako .Nasema kw aumri wangu sikupaswa kusema haya lakini nakueleza cause utatuudhi na mambo ya kijinga hapa kila kukicha Fisadi wa akili wewe .Bonge la opportunist senior snitch .Nimesema ndiyo .Tumia akili from now ku tackle hoja na si mavi kichwani .
 
unawakilisha jamii ya wapi?je tukisema chama unachotoka ni cha wahuni na wachochezi utasemaje?si CCM mnasema ni chama cha mafisadi sababu kuna baadhi ya watu ni mafisadi basi tafuta jina zuri la chama chako amblo linaendana na tabia yako.

Zitto yeye i nani asiguswe??kwani kihwa cha habari kina suala la Muhimu??weka katika matangazo madogomadogo.

Gembe mimi si mwanachama wa Chama chochote .Ila nimemchoka huyu shy kila mara na tabia za ajabu.Kuguswa sawa mtui yeyote hata Lunyungu anasemwa .Nimetoa taarifa watu wanaweza kutaka kusema naye .Kuna kosa ? ustaarabu muhimu .Mimi Chama changu ni Tanzania .
 
Ukiona hivi ujue nimesha kuchoka na akili zako zilizo kama mavi .Ndiyo nakueleza tunachoka na ujinga wa watu wa aina yako .Nasema kw aumri wangu sikupaswa kusema haya lakini nakueleza cause utatuudhi na mambo ya kijinga hapa kila kukicha Fisadi wa akili wewe .Bonge la opportunist senior snitch .Nimesema ndiyo .Tumia akili from now ku tackle hoja na si mavi kichwani .

Lunyungu umenishangaza sana,
wewe unataka shy aandike unayopenda wewe??basi mshauri awe anakupitishia kabla hajaja kuandika hapa.

kumuita mtu au mwenzie snitch ni utovu wa nidhamu.na kama ummchoka ungana naye au muache
 
Lunyungu umenishangaza sana,
wewe unataka shy aandike unayopenda wewe??basi mshauri awe anakupitishia kabla hajaja kuandika hapa.

kumuita mtu au mwenzie snitch ni utovu wa nidhamu.na kama ummchoka ungana naye au muache

Gembe
I have said it and am done with him.Mimi nimewapa namba ya Zitto basi .Mbona wewe sijakulazimisha useme ninayo yataka ? SHY katufanyia mengi ya kijinga hapa .Anyway sitajibu hili tena .Mnisamehe kwa kuwakwaza waungwana lakini mtu mzima miaka 46 ukiona nasema haya basi ujue ni hasira sana nataka maandiko yabakie tu ajue nilichukia sana .
 
Moh
Mimi ni Mnyalukolo tafadhali .

Ukiona hivi ujue nimesha kuchoka na akili zako zilizo kama mavi .Ndiyo nakueleza tunachoka na ujinga wa watu wa aina yako .Nasema kw aumri wangu sikupaswa kusema haya lakini nakueleza cause utatuudhi na mambo ya kijinga hapa kila kukicha Fisadi wa akili wewe .Bonge la opportunist senior snitch .Nimesema ndiyo .Tumia akili from now ku tackle hoja na si mavi kichwani .

Gembe mimi si mwanachama wa Chama chochote .Ila nimemchoka huyu shy kila mara na tabia za ajabu.Kuguswa sawa mtui yeyote hata Lunyungu anasemwa .Nimetoa taarifa watu wanaweza kutaka kusema naye .Kuna kosa ? ustaarabu muhimu .Mimi Chama changu ni Tanzania .

Gembe
I have said it and am done with him.Mimi nimewapa namba ya Zitto basi .Mbona wewe sijakulazimisha useme ninayo yataka ? SHY katufanyia mengi ya kijinga hapa .Anyway sitajibu hili tena .Mnisamehe kwa kuwakwaza waungwana lakini mtu mzima miaka 46 ukiona nasema haya basi ujue ni hasira sana nataka maandiko yabakie tu ajue nilichukia sana .

sawa MNYALUKOLO,punguza hasira kaka.tuchukulie tuu kaka unajua tena vijana tulozaliwa baada ya KIFO CHA SOKOINE na KAMBARAGE NYERERE kutoka madarakani.
 
Gembe mimi si mwanachama wa Chama chochote .Ila nimemchoka huyu shy kila mara na tabia za ajabu.Kuguswa sawa mtui yeyote hata Lunyungu anasemwa .Nimetoa taarifa watu wanaweza kutaka kusema naye .Kuna kosa ? ustaarabu muhimu .Mimi Chama changu ni Tanzania .

Lunyungu,

Wewe ni CHADEMA bwana! au unataka mpaka tutoe na kadi namba yako? Kwi kwi kwi!!!!
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom