Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
Hahaha hahahaha maajabu hayaishi hapo lumumbaMbona gharama hazisumbui hiyo pass watu walikuwa wakiipata kwa mlango wa nyuma kwa pesa ya juu na walimudu nini sasa mnalia lia na wasafiri ni wale wale nani kasema wanahitaji kutetewa!