Habari za mbolea ya minjingu zilikuwa na umuhimu gani kwa huyu mtoto wa mkulima? hata mimi nisingethubutu kumpigia makofi! ukimya ule nayo ni mawasiliano, nadhani kuna ujumbe kaupata.
acha kabisa! Jina lake ni
Mizengo K. P. Pinda. Ukome kumwita 'mtoto wa mkulima' Pinda ni
mwizi/fisadi.
Radio yangu haishiki cloud fm bwana