Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billions ( Novemba 2005 )
Wakati Serikali ya Awamu ya 4 inaondoka madarakani miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 )
Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Maana yake ni kuwa, Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.
Wakati Serikali ya Awamu ya 4 inaondoka madarakani miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 )
Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Maana yake ni kuwa, Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.