Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,990
🤣🤣 WAMETEKENYA PANAPOHUSIKANje ya mada
🤣🤣 WAMETEKENYA PANAPOHUSIKANje ya mada
AminMungu ibariki Tanzania ukipenda mwenyewe , hatutakulazimisha Baba
2020 kipigo kipo pale pale msijisahaulishe
Kama huyo zito ana ushahidi na awe wa kwanza kuwaburuza hao mawaziri mahakamani vinginevyo asitulete porojo zake.Hii ni baada ya kuporomosha uchumi wa nchi Kwa kasi ya radi ambapo ukuaji wake kwa miaka 10 mfululizo ulikuwa 7% lakini sasa umedondoka pwaaaa mithili ya parachichi la Njombe !! hadi kufikia ukuaji wa aibu wa 4% (hii ni kwa mujibu wa IMF )
View attachment 1085191