Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,767
Hii ni baada ya kuporomosha uchumi wa nchi Kwa kasi ya radi ambapo ukuaji wake kwa miaka 10 mfululizo ulikuwa 7% lakini sasa umedondoka pwaaaa mithili ya parachichi la Njombe !! hadi kufikia ukuaji wa aibu wa 4% (hii ni kwa mujibu wa IMF )