Zitto: Baraza zima la Mawaziri la awamu ya 5 linapaswa kushitakiwa kwa Uhujumu uchumi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,503
217,767
Hii ni baada ya kuporomosha uchumi wa nchi Kwa kasi ya radi ambapo ukuaji wake kwa miaka 10 mfululizo ulikuwa 7% lakini sasa umedondoka pwaaaa mithili ya parachichi la Njombe !! hadi kufikia ukuaji wa aibu wa 4% (hii ni kwa mujibu wa IMF )

Instagram media - Bw48QjEh5xk.jpg
 
Mtandao wa majizi ulioanzia Ikulu, Serikalini, ccm hadi bungeni chini ya uongozi wa kubwa la majizi pale Ikulu.



Hii ni baada ya kuporomosha uchumi wa nchi Kwa kasi ya radi ambapo ukuaji wake kwa miaka 10 mfululizo ulikuwa 7% lakini sasa umedondoka pwaaaa mithili ya parachichi la Njombe !! hadi kufikia ukuaji wa aibu wa 4% (hii ni kwa mujibu wa IMF )

View attachment 1085191
 
Back
Top Bottom