ithangaledi
Member
- Jun 4, 2011
- 84
- 57
Wana Jf,
Taarifa ambazo zimenifikia hivi punde ni kuwa Zitto Kabwe ameweka pingamizi mahakamni kuzuia kikao cha Kamati Kuu kesho.
Hoja yake ni kupinga kuitisha kamati kuu kabla shauri lake kusikilizwa na Baraza Kuu.
Anadai anataka mahakama iagize kamati kuu kutojadili suala lake mpaka baraza kuu likae kuamua rufaa yake.
Wanasheria wa Chama wakiongozwa na Tundu Lissu wanaenda Mahakamani kusikiliza pingamizi hilo ambalo litakuwa limeenda kwa hati ya dharura.
Nitawaletea kinachoendelea.
Ithangaledi
Update,
1. Wakili wa ZZK ni Alberto Msando.
2. Mawakili wa pande zote wapo Mahakamani.
3. Msando ndiyo ameruhusiwa kuanza kuwasilisha.
4. Jaji Utamwa ndiye anayesikiliza pingamizi hilo
============
Itaendelea KESHO:
Taarifa ambazo zimenifikia hivi punde ni kuwa Zitto Kabwe ameweka pingamizi mahakamni kuzuia kikao cha Kamati Kuu kesho.
Hoja yake ni kupinga kuitisha kamati kuu kabla shauri lake kusikilizwa na Baraza Kuu.
Anadai anataka mahakama iagize kamati kuu kutojadili suala lake mpaka baraza kuu likae kuamua rufaa yake.
Wanasheria wa Chama wakiongozwa na Tundu Lissu wanaenda Mahakamani kusikiliza pingamizi hilo ambalo litakuwa limeenda kwa hati ya dharura.
Nitawaletea kinachoendelea.
Ithangaledi
Update,
1. Wakili wa ZZK ni Alberto Msando.
2. Mawakili wa pande zote wapo Mahakamani.
3. Msando ndiyo ameruhusiwa kuanza kuwasilisha.
4. Jaji Utamwa ndiye anayesikiliza pingamizi hilo
============
Itaendelea KESHO:
- Imetolewa interim order kuwazuia CHADEMA kujadili suala hili mpaka kesho ili wajibu hoja zao baada ya objections zilizowasilishwa na mawakili wa chama kukataliwa.
Mahakama imeamua kamati kuu iendelee baada ya mwanasheria wa Zitto kuweka pingamizi kuzuia Kamati Kuu Kesho
Pia Mahakama imeamua kuwa mashtaka dhidi ya viongozi waliovuliwa madaraka ambao wana mashtaka Dr.Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba yaendelee kujadiliwa Kesho na kamati kuu bila kizuizi chochote
Aidha,Kesho asubuhi Mahakama itatoa uamuzi juu ya pingamizi lililowekwa na Zitto Kabwe juu ya kamati kuu kujadili suala lake