Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Hayo yote uliyoongea nayaelewa ila point yangu ni kusema ana 'hutubia taifa' ndio ninachopinga mkuu. Rais au anaemkaimu ndio mwenye mamlaka ya kulihutubia taifa.
Taifa ni nini??, ni wanyama au watu??!!, corona inawahusu wanyama na vitu au inawahusu watu/wananchi??