Zitto awasilisha Bungeni hoja kuhusu Zimbabwe

sio Balozi Mwenyewe Anasemaje. Kama Zimbabwe Haijatuambia Sisi Au Dunia Kwamba Wanamuita Nyumbani Balozi Wao, Basi Sio Official.

i Hope And Pray For Zitto, Kwamba Alicho Kisema Bungeni, Kakipata Kutoka Kwenye Official Communication Ya Zimbabwe.

This Wont Happen....?
kuutafuta Umaarufu Kazi Jamani...!
 
Jamani issue ya Zimbabwe iko complex.Haitoshi tu kuangalia BBC na western propaganda na kufikia conclusion.Ningeshauri tujadili ya kwetu na kuwasupport wazimbabwe kama wataomba msaada wetu.
Hivi kuna mtu aliuwa watu kuliko Ian Smith pale Zimbabwe?..mbona jamaa hakufikishwa kwenye mahakama za kimataifa? mbona hao hao wanosema Mugabe ni monster walikuwa kimyaa? Kama wana NAZI wa kijerumani wanasakwa mpaka leo na wakipatikana wanafikishwa mahakamani kwa nini Ian Smith au Botha hawakufikishwa mahakamani kwa maovu waliyoyafanya kwa wazimbabwe? hapa naona tunapelekwapelekwa kama ile issue ya Iraq kuwa wanazo silaha za maangamizi.
Tumeona haya hata Haiti nchi iliyo na asilimia kubwa ya weusi na iliyo karibu na marekani lakini marekani ndiyo chanzo cha matatizo yote ya Haiti.Ni undumila kuwili huu huu ambao tunaukataa...

Ni kweli kuna violence in Zimbabwe na ningeshauri kupeleka vikosi vya SADC au AU ili kutuliza ghasia na kuanza dialogue baina ya pande kuu mbili na siyo kuwa wasemaji wa marekani na uingereza ambao wanatuchezea kila kukicha na huku wakiweka interests zao mbele na za wengine nyuma.

-Wembe.
 
Ni kweli kuna violence in Zimbabwe na ningeshauri kupeleka vikosi vya SADC au AU ili kutuliza ghasia na kuanza dialogue baina ya pande kuu mbili na siyo kuwa wasemaji wa marekani na uingereza ambao wanatuchezea kila kukicha na huku wakiweka interests zao mbele na za wengine nyuma.

Zimbabwe kuna tatizo, ila? Sikuelewi.

Nani kawa msemaji wa Marekani?
 
Tumemlea wenyewe Mugabe hasa wakati wa utawala wa Mkapa kama Marekani ilivyofanya kwa Osama kabla hajawageuka. Jeshi na vyombo vyote vya Usalama nchini Zimbabwe vinamtaka Mugabe, Mke wake naye anataka aendelee kuwa First Lady kwa kuwa umri unamruhusu na kuna watu ndani ya utawala wa Mugabe wanafaidika sana, wanataka mzee huyu afie madarakani.


Hapana, ni maofisa wakuu wa jeshi na polisi ndio wanaompigia debe Mugabe. Katika operation hii, ni vikosi maalumu vinavyopewa upendeleo fulani ndivyo vinavyowashughulikia viongozi wa upinzani, siyo wanajeshi wote. Miezi michache iliyopita Mugabe alinuusurika kuuwawa na wanajeshi wa jeshi la anga, ingawa kwa bahati mbaya ama nzuri mpango wao ulijulikana mapema wakanyongwa.
 
"Kwa maana hiyo, Zitto alitoa hoja kuwa Bunge lijadili kwa ufupi hali hiyo ya Zimbabwe na kwamba balozi wa Tanzania aliyeko harare arudi nyumbani mara moja ili kuonyesha Zimbabwe, Afrika na Dunia kwa ujumla kwamba Tanzania ipo thabiti katika kulinda demokrasia na haki za binadamu."

Kama hiyo ndio kauli ya Zitto, basi nashindwa kuendelea kushangaa....
 
Kuna watu wanaonyesha kuwa matatizo ya zimbabwe hayatuhusu watanzania. hivi hii ni kweli? Kumbukeni hawa ndio tuliopoteza resources zetu nyingi kuwasaidia kupata uhuru wao
 
Choosing between Tsvangirai and Chiwenga
June 23, 2008

Why Chiwenga would die for Mugabe

By Geoffrey Nyarota

Should a man who failed an elementary military test, shot himself in the chest in despair as a result, missed the vital organ by millimeters, before the test result was reversed in his favour out of sympathy, ever be permitted to assume command of the armed forces of a nation?

Most fair minded people will say, “Of course not.”

The foregoing is an apt description of the circumstances surrounding the launch of the military career of the commander of the Zimbabwe Defence Forces, General Constantine Chiwenga.

Not only did then Prime Minister Robert Mugabe order the officials at the Military Staff Training College in Gweru to reverse the result of the crucial test that the young officer had failed, he also immediately rewarded him with promotion to the rank of brigadier, appointing him to take charge of the Zimbabwe Army’s One Brigade in Bulawayo. He became Brigadier Dominic Chinenge.

Chinenge was the name that Chiwenga assumed after he enlisted with ZANLA on arrival in Mozambique in 1973. After the ceasefire and independence he first came to the notice of the new military top brass as commander of the Zanla forces during the Entumbane uprising in Bulawayo.

Then Finance Minister Enos Nkala, an avowed enemy of PF-Zapu President Dr Joshua Nkomo, made inflammatory remarks at a Zanu-PF rally held in Bulawayo in November 1980. He warned Nkomo and PF-Zapu that Zanu-PF would deliver a few blows against the opposition party. This careless and insensitive remark sparked off the first Entumbane uprising, in which Zipra and Zanla, the armed wings of the two parties fought a pitched battle for two days in the newly constructed but still unoccupied suburb of Entumbane, where troops of both armies had been temporarily cantoned.

Chinenge was the commander of the Zanla troops.

In February 1981 there was a second uprising, which spread to Glenville and also to Connemara in the Midlands. ZIPRA troops in other parts of Matabeleland headed for Bulawayo to join the battle, and ex-Rhodesian units were brought in to stop the conflict. Over 300 people, most of them ex-guerillas lost their lives.

The British Military Advisory Team (BMAT), which the new government of Zimbabwe contracted to integrate Zanla and Zipra, as well as elements of the former Rhodesian security Forces and also to modernize the new Zimbabwe National Army, established a military training school in Gweru. Among former Zanla fighters enlisted was Dominic Chinenge. That was in 1982.

Eleven years earlier, two Form Three schoolboys, Constantine Chiwenga, and a friend had absconded from Mt St Mary’s Secondary School, a Catholic institution in the heartland of the Hwedza District. They set out along the road that many schools boys and girls of the day were travelling – to Mozambiaque and the war of liberation. The friend was Bigboy Samson Chikerema.

When they returned to Zimbabwe after the ceasefire in 1980 they had assumed new names as was the fashion among the young guerillas. Chiwenga had become Chinenge, while Chikerema had assumed the name Perrence Shiri. Chinenge was destined to become Brigadier Chinenge in charge of One Brigade in Bulawayo and ultimately General Chiwenga, commander of the Zimbabwe Defence Forces. Shiri would be appointed commander of Five Brigade, the controversial North Korean-trained unit which caused havoc and mayhem in the provinces of Matabeleland and the Midlands.

Deployed to rout what turned out to be only a handful of armed dissidents in the aftermath of Entumbane, Five Brigade waged a ruthless campaign of bloodthirsty slaughter, which left no less than 10 000 innocent civilians dead. Some estimates put the figure at as high as 20 000.

At the end of his training course in Gweru, Chiwenga’s class took an examination. Not surprisingly, given his poor academic background, he failed the test that was designed to open the doors to opportunities in the military.

On arrival back home in Harare, unable to come to terms with the bleak future he faced, the young officer pulled out his service pistol pointed it at the left side of his chest and pulled the trigger. The bullet sliced through his body exiting at the back, just below the left shoulder blade. He had however missed the heart which he apparently was aiming for.

“He was unconscious when he was admitted to the Intensive Care Unit at Parirenyatwa Hospital,” says Dr Mukai Ndlovu (not his real name) who was a young doctor at the hospital at the time when Chiwenga was rushed there. Ndlovu who now lives in the United Kingdom, was present in the theatre as Chiwenga underwent surgery. He observed him as he recuperated slowly in the hospital’s exclusive Ward D, which had previously been reserved for wealthy white patients.

“The bullet missed the heart by a mere 10 millimetres. It went through his left nipple, narrowly missing the heart but rupturing the upper lobe of the left lung. The bullet had gone straight through his body leaving a gapping hole at the back.

“Apart from general debridement (cleaning) of the gun-shot wound and stopping the bleeding from the damaged left lung, no major surgery was undertaken.”

But, Ndlovu said, the exit wound left by the bullet had caused a serious problem as it would not respond to treatment. After he was discharged from hospital the wound had taken more than two months to heal.

After Chiwenga’s recovery the then Prime Minister, Robert Mugabe, had felt sorry for the young former freedom fighter. He ordered the military instructors in Gweru to reverse Chiwenga’s exam result. Not only that – he promoted him to the rank of Brigadier in the first crop of post-independence commanders of the army’s four brigades at the time. Brigadier Chinenge was appointed commander of One Brigade at its Brady Barracks headquarters in Bulawayo.

Ndlovu says this development had raised eye-brows in medical circles.

Said the doctor: “For someone to undergo such a traumatic experience; it that he has suffered a severe acute depression. At the time that Chiwenga decided to take his own life, he was virtually a deranged man.

“For such a man to recover, have his exam result reversed and be promoted to a brigadier was simply incredible.

“That explains Chiwenga’s deep loyalty to Mugabe. But in a civilised society you do not promote someone who has undergone such a deranged and traumatic experience to take charge of an army brigade, let alone a whole army.

“It’s unheard of. You would not trust a man who has undergone such severe acute depression to make normal and rational decisions under challenges such as experienced in a military situation. Someone who is susceptible to such irrational decision-making has already shown you that he cannot be relied upon to make reasonable decisions under stress and challenge.”

Ndlovu said the fact that Chiwenga had risen to become, first commander of the Zimbabwe National Army and then of Zimbabwe’s Defence Forces reflected badly on the judgement of Mugabe.

“According to Mugabe,” says Ndlovu, “here is a man who was prepared to die because he failed a simple test and who is now dependent on him for all his credentials and promotions. Mugabe prefers such a man in charge of the army because he is not capable of making professional and independent decisions. Yet failing that simple test in 1982 proved that Chiwenga is not capable of holding positions such as he holds now.”

“Now we all reap the consequences of Mugabe’s ill-advised decisions. Without Mugabe, Chiwenga would certainly not be commander of the army. He should have been dismissed from the army after his failed suicide attempt.

“Put simply, Chiwenga is suicidal”

Of late Chiwenga has acquired political clout, which is not entirely commensurate with his position in the armed forces. He has become perhaps Zimbabwe’s most powerful citizen after Mugabe. Some will argue that he may have become the most powerful Zimbabwean.

He is the leader of the Joint Operations Command which, since the dramatic political events of March 29, 2008, when President Mugabe lost a crucial presidential election to his nemesis and perceived political Liliputian, Morgan Tsvangirai, of the MDC, has effectively usurped the executive powers otherwise vested in the President.

Addressing Zanu-PF supporters on Friday, June 12, Mugabe, disclosed what he assumed was a closely guarded secret. It was information, however, that has been in the public domain since soon after the events of that fateful day on Sunday, May 30, 2008, when the top war veterans visited the President.

As the party faithful cheered him at Murehwa Business Centre, Mugabe dismissed the MDC, as has been his relentless custom since 1999, as a “British party that was created and funded by the British”. Mugabe then made his public disclosure.

He said that after the March 29 elections the war veterans had approached him in his office to plead for a return to the bush war that preceded Zimbabwe’s independence.

“They said, ‘We secured our independence through the barrel of the gun. Are we now to surrender it through the power of the pen? Should we let the country go through a simple X on a ballot paper?’
“We told them we did not want to go back to war. But we said to them, ‘Can all of you here just watch as the country is taken back?’”

Following this clear presidential incitement, on April 5 the security forces were heavily deployed throughout the countryside and Zimbabwe has known no peace since then.

The identity of the war veterans who approached Mugabe in the circumstances described is not in any way shrouded in mystery. The delegation that visited the President comprised none other than the members of the Joint Operations Command. The commanders who visited Mugabe that Sunday are General Constantine Chiwenga, commander of the Defence Forces, Commissioner General Augustine Chihuri of the Police, Air Marshal Perrence Shiri, commander of the Air Force of Zimbabwe as well as director of prisons Paradzai Zimondi. These men, Chiwenga and Chihuri, in particular, are reputed to be currently the powers behind the Mugabe throne.

It is they who monitored the operations of the Zimbabwe Electoral Commission, which is headed by a former senior army officer. It is they who received the first briefing on how the election count was shaping. It is they who were the first to panic at the totally unexpected or, in their view, unacceptable briefs that they received from ZEC that Sunday. It is, therefore, also they who, when it became patently clear which way the vote count was going, decided to take the bull by the horns by approaching the equally anxious Mugabe.

It is they, reliable sources say, who calmed the President, by saying he should not panic. It is they who decided on the strategy to delay the announcement of the election results, especially the presidential, which they and Mugabe became aware of on that day, as indeed did many Zimbabweans who bothered to collate the results posted outside their polling stations, in terms of the Electoral Act.

It was after such collation that MDC Secretary General Tendai Biti prematurely announced the election, much to the chagrin of the JOC, which allegedly was counting on the secrecy of the whole counting process to implement whatever strategy was their brief. They never forgave Biti. He now stands charged of treason and faces a possible death sentence.

The JOC has now effectively usurped executive authority from Mugabe. Their loyalty to Mugabe arises from different reasons. Chiwenga owes his very existence to the President. Chihuri was rehabilitated in 1980 after a long period of incarceration as a prisoner of Zanu in the dungeons of Cabo del Gado in Mozambique. Shiri lives in mortal fear of retribution for Gukurahundi.

Besides that, their senior positions in the security forces have opened doors to immense wealth. They own mansions, the best farming estates, fleets of luxury cars. It is not loyalty alone that motivates them to resist change. They cannot countenance letting go of all they have acquired over the years that the system has been totally devoid of any vestige of accountability.

As leader of JOC in a lawless Zimbabwe, Chiwenga is the man now vested with authority over the lives and welfare of millions of Zimbabweans. As for now, those lives count for nothing as the veterans of the war of independence now fight for their very survival.

With Reserve Bank governor Gideon Gono on sides to keep the presses running while printing bank notes with reckless abandon, the people of Zimbabwe are in trouble, even if they vote Mugabe out on Friday.
He has made it impiously clear, only God can dethrone him.

But Mugabe’s blaspheme should not, in any way, intimidate Tsvangirai into withdrawing from Friday’s elections. The electorate should be mindful, however, that they will basically be choosing between Morgan Tsvangirai and Constantine Chiwenga and his ruthless cronies, a choice between the forces of good and the forces of evil.

If Mugabe and his henchmen lose the election re-run innocent Zimbabweans will die in ruthless retribution. Likewise, if they emerge victorious they will celebrate by sacrificing the lives of innocent Zimbabwe.

The MDC should remain mindful that Mugabe was never going to depart without staging horrific melodrama.
 
Tatizo la Zimbabwe sio la kuparamia kama alivyofanya Bw. Membe. Nina wasiwasi kuwa Tanzania ilishurutishwa kutoa usemi huo, kwani kiukweli hausaidii chochote katika kutatua suala la Zimbabwe kama tulivyoona matokeo yake ya Tsvangirai kujitoa kwenye uchaguzi.

Mugabe, kama ukiongea na wazee kama Brig. Hashim Mbita na wengine wanaoheshimika na Mugabe, watakueleza kuwa Mugabe hivi sasa hana shida tena ya madaraka, ila wasiwasi wake ni jinsi gani aondoke bila weupe wa Zimbabwe na ulaya kumfuatilia na kumuadhibu.

Tatizo la Tsvangirai elimu yake ni ndogo sana na kilichopo akilini mwake ni uraisi tu kwa gharama yeyote na kulipa tu kisasi, kitu ambacho ndicho walicho nacho wadhamini wake wakubwa, weupe wa Zimbabwe, na hivyo kinachofanya maelewano yake na Mugabe kushindikana.

Kama Tsvangirai angekuwa mjanja, basi angelazimishia maongezi ya mara kwa mara baada, kwa mara ya kwanza, kuonyesha kuwa ana nguvu zaidi ya Mugabe kisiasa, ili kumuwezesha Mugabe kuruhusiwa kisheria, pamoja na wakaribu wake, kuritaya bila kufikishwa mahakamani na kuilinda nchi kutokuwa na mmomonyoko.

Tanzania kutokana na matamshi ya Membe, hivi sasa haina tena nguvu ya kumshawishi Mugabe, ingawa ndio kati ya marafiki wake wachache waliobakia na ndio mwenyekiti wa AU. Siasa za kidiplomasia sidhani kama zinafanyika kwenye vyombo vya habari, kitu ambacho Membe inaelekea ndio alicho na ufundi nacho.


Suluhisho la Zimbabwe hivi sasa Tanzania hatuna tena nguvu ya kulishughulikia kwa vile tumemsukuma Mugabe kuwa adui yetu, kutokana na Bw. Membe. Kwa hiyo kama Mbeki hatafanikiwa kuwasuluhisha, basi Zimbabwe sio ajabu ikaingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe, kwani haitakuwa rahisi kutawalika chini ya Mugabe bila yeye kushinda kura. Mungu iokoe Zmbabwe.
 
Tatizo la Zimbabwe sio la kuparamia kama alivyofanya Bw. Membe. Nina wasiwasi kuwa Tanzania ilishurutishwa kutoa usemi huo, kwani kiukweli hausaidii chochote katika kutatua suala la Zimbabwe kama tulivyoona matokeo yake ya Tsvangirai kujitoa kwenye uchaguzi.

Mugabe, kama ukiongea na wazee kama Brig. Hashim Mbita na wengine wanaoheshimika na Mugabe, watakueleza kuwa Mugabe hivi sasa hana shida tena ya madaraka, ila wasiwasi wake ni jinsi gani aondoke bila weupe wa Zimbabwe na ulaya kumfuatilia na kumuadhibu.

Tatizo la Tsvangirai elimu yake ni ndogo sana na kilichopo akilini mwake ni uraisi tu kwa gharama yeyote na kulipa tu kisasi, kitu ambacho ndicho walicho nacho wadhamini wake wakubwa, weupe wa Zimbabwe, na hivyo kinachofanya maelewano yake na Mugabe kushindikana.

Kama Tsvangirai angekuwa mjanja, basi angelazimishia maongezi ya mara kwa mara baada, kwa mara ya kwanza, kuonyesha kuwa ana nguvu zaidi ya Mugabe kisiasa, ili kumuwezesha Mugabe kuruhusiwa kisheria, pamoja na wakaribu wake, kuritaya bila kufikishwa mahakamani na kuilinda nchi kutokuwa na mmomonyoko.

Tanzania kutokana na matamshi ya Membe, hivi sasa haina tena nguvu ya kumshawishi Mugabe, ingawa ndio kati ya marafiki wake wachache waliobakia na ndio mwenyekiti wa AU. Siasa za kidiplomasia sidhani kama zinafanyika kwenye vyombo vya habari, kitu ambacho Membe inaelekea ndio alicho na ufundi nacho.


Suluhisho la Zimbabwe hivi sasa Tanzania hatuna tena nguvu ya kulishughulikia kwa vile tumemsukuma Mugabe kuwa adui yetu, kutokana na Bw. Membe. Kwa hiyo kama Mbeki hatafanikiwa kuwasuluhisha, basi Zimbabwe sio ajabu ikaingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe, kwani haitakuwa rahisi kutawalika chini ya Mugabe bila yeye kushinda kura. Mungu iokoe Zmbabwe.

Mwaka jana Morgan na chama chake waliwahi kutoa pendekezo kuwa uchaguzi wa rais na wabunge uhahirishwe hadi mwaka 2010 kusudi kuwe na uchaguzi mmja wa rais wabunge na maseneta. Katika kipindi hiki cha kati ya mwaka 2008 hadi wakti huo wa uchaguzi mwaka 2010 kuwe na serikali ya mpito na vile vile kuwe na sheria ya kumsamehe Mugabe kwa makosa yote aliyofanya akiwa Rais. Mugabe na watu wake walikataa katakata pendekezo hilo wakidai kuwa uchaguzi utafanyika kama kawaida na walikuwa na imani kuwa MDC itshindwa vibaya.

Kuhusu Morgan kuwa na elimu ndogo, hilo ni kweli, lakini MDC nzima inaongozwa na wasomi wengi sana, Morgan yuko pale juu kwa ajili ua umaarufu wake lakini mastermind wa MDC ni vichwa.

Mimi nakubalinana na wengine kuwa swala la Zimbabwe tuliache kwanza kwa vile tunayo yetu mengi yanayotukabili, ila tuonyeshe tu kuwa hatufurahishwi na hali iliyoko Zimbabwe.
 
kuna Watu Wanaonyesha Kuwa Matatizo Ya Zimbabwe Hayatuhusu Watanzania. Hivi Hii Ni Kweli? Kumbukeni Hawa Ndio Tuliopoteza Resources Zetu Nyingi Kuwasaidia Kupata Uhuru Wao

Nani Atatusaidia Sisi Kupata Uhuru Wetu?
Ama Huamni Nchi Imeuzwa Na Sisi Ndani?
 
Mwaka jana Morgan na chama chake waliwahi kutoa pendekezo kuwa uchaguzi wa rais na wabunge uhahirishwe hadi mwaka 2010 kusudi kuwe na uchaguzi mmja wa rais wabunge na maseneta. Katika kipindi hiki cha kati ya mwaka 2008 hadi wakti huo wa uchaguzi mwaka 2010 kuwe na serikali ya mpito na vile vile kuwe na sheria ya kumsamehe Mugabe kwa makosa yote aliyofanya akiwa Rais. Mugabe na watu wake walikataa katakata pendekezo hilo wakidai kuwa uchaguzi utafanyika kama kawaida na walikuwa na imani kuwa MDC itshindwa vibaya.

Kuhusu Morgan kuwa na elimu ndogo, hilo ni kweli, lakini MDC nzima inaongozwa na wasomi wengi sana, Morgan yuko pale juu kwa ajili ua umaarufu wake lakini mastermind wa MDC ni vichwa.

Mimi nakubalinana na wengine kuwa swala la Zimbabwe tuliache kwanza kwa vile tunayo yetu mengi yanayotukabili, ila tuonyeshe tu kuwa hatufurahishwi na hali iliyoko Zimbabwe.

Mkuu Kichuguu,
Kwa kawaida ukitaka kuchukua high ground, unafanya pale unapokuwa na nguvu ya kufanya hivyo. Ndio maana nasema hivi sasa Tsvangirai ingekuwa ndio wakati wake wa kumuonyesha mzee wa watu heshima na kumpumzisha, sio wakati ule, yeye Mugabe alipokuwa na ushawishi wa kila kitu.

Ni kweli Morgan anao wasomi wengi, lakini wengi haelewani nao au wanamdharau ndio maana waliamua kuanzisha chama chao hapo nyuma. Yeye na Mrema hawana tofauti sana, wanajua kuwasuka wananchi lakini hawajui kutawala hasa penye kuwatumia wasomi.

Hivi karibuni alianza na majigambo kumtambia Mugabe hadharani kuwa lazima wakamalize haka kazee, ambapo angeweza kusema vingine na bila kumuogofya Mugabe. Niambie hata kama ni wewe ukiwa na nguvu zote za serikalini pamoja na majeshi utafanyaje? Utasubiri mpaka Morgani asiye akukamate na kukunyonga?

Mugabe anayofanya ni Makosa lakini hata ingekuwa Nyerere au Mandela labda wangefanya hayo hayo baada ya kufikishwa kwenye kona na wenye ulimwengu huu. Tena nafikiri amekuwa mvumilivu sana ukilinganisha na watu kama Castro au kule Burma.

Solution ya Zimbabwe itapatikana kama Morgan atataka na sio Mugabe. Huu ndio ukweli ingawa hauongelewi. Morgani akikubali kudialogue na huyu mzee akiwa anamheshimu na kulinda hadhi yake, Zimbabwe itapitwa na kikombe hiki. Mwenyezi Mungu iokoe Zimbabwe.
 
Zitto aja na hoja nzito

na Mwandishi Wetu, Dodoma



MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ameitaka serikali kuondoa mara moja balozi wake nchini Zimbabwe, na Bunge lisitishe shughuli zake na kuijadili hali ya mambo nchini humo.
Hayo yamo katika hoja ya jambo la dharura, ambayo mbunge huyo aliiwasilisha jana kwa Spika Samuel Sitta, chini ya kanuni ya 47 na 48.
Mara baada ya kipindi cha maswali na majibu, wakati Sitta alipomuomba Katibu wa Bunge kueleza jambo linalofuata katika ratiba ya shughuli za Bunge, Zitto alisimama na kuomba nafasi ya kuzungumza.
Alipopewa nafasi hiyo, alieleza kuwa kama alivyofanya asubuhi kwa kumpatia Spika jambo hilo la dharura, aliliomba Bunge kusitisha shughuli zake, ili lijadili hali ya mambo nchini Zimbabwe.
Spika alifahamisha Bunge kuwa alikuwa amepokea hoja hiyo kutoka kwa mbunge huyo asubuhi na baada ya kuisoma alikubaliana kuwa hoja hiyo ni nzito.
“Mheshimiwa Zitto amewasilisha kwangu hoja ya dharura akitaka Bunge lisitishe shughuli nyingine ili lijadili kuhusu Zimbabwe. Baada ya kuipitia nimeona kweli ni hoja nzito,” alisema Sitta.
Hata hivyo, Sitta alisema haiwezekani kuijadili hoja hiyo moja kwa moja bungeni, hivyo ameikabidhi kwa Kamati ya Mambo ya Nje, ili iipitie na kuwasilisha maoni yake katika ofisi yake, kabla hajatoa uamuzi kuhusu hoja hiyo.
Sitta alisema ameona busara kuikabidhi hoja hiyo kwa kamati ili kujiepusha na “kuharibu zaidi kuliko kutengeneza” kwa kuamua kuijadili hoja hiyo moja kwa moja.
Ingawa Zitto hakupewa nafasi ya kuelezea hoja yake, lakini gazeti hili lilifanikiwa kupata nakala ya hoja hiyo, ambayo mbunge huyo anaeleza kuwa mambo yanayotokea Zimbabwe hivi sasa yanahatarisha amani na kulifedhehesha bara la Afrika.
Anasema mara baada ya viongozi wa SADC kukutana na kujadili hali tete ya Zimbabwe, na mara baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kusema kwamba uchaguzi wa Zimbabwe hautakuwa huru na wa haki, nchi hiyo imechukua hatua ya kumwondoa balozi wake nchini.
“Katika shughuli za kidiplomasia, hali ya nchi kumwondoa balozi wake kufuatia matamko ya nchi mwenyeji, ni sawa na kutangaza mgogoro wa kidiplomasia,” anasema Zitto katika hoja hiyo ya kurasa mbili.
Anasema mpaka sasa, Serikali ya Tanzania bado haijachukua hatua yoyote kuhusu balozi wake aliyepo Harare na kubainisha kuwa Mtanzania huyo, ambaye ametumwa kumwakilisha rais na nchi nchini humo, anaweza kuwa katika hali ya hatari.
Anasema kuwa Zimbabwe ni rafiki wa siku nyingi wa Tanzania na Tanzania imesaidia sana katika harakati za ukombozi wa nchi hiyo, lakini hali ya sasa nchini humo haivumiliki, na ni aibu kwa bara la Afrika.
Anabainisha kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Wilson Masilingi na Anna Abdallah, wameshalizungumzia suala hilo bungeni na kuunga mkono kauli ya serikali iliyotolewa na Membe. Anaongeza kuwa, Chama cha Upinzani cha MDC cha Zimbabwe chini ya kiongozi wake, Morgan Tsvangirai, wamejitoa katika uchaguzi huo na hivyo kusababisha hali kuzidi kuwa tete. Zitto anashangaa katika hoja yake hiyo kuwa, kama Robert Mugabe na chama chake cha ZANU-PF hawawezi kuachia madaraka hata kama wakishindwa uchaguzi, na kwamba wapo tayari kuingia vitani, ni kwa nini waliitisha uchaguzi? “Viongozi kama akina Mugabe ambao walikuwa na heshima kubwa na mfano wa kuigwa kwa viongozi bora wa Afrika, wanapofanya vitendo kama anavyofanya sasa, wanatutia aibu na kulichafua bara la Afrika,” anasema Zitto katika hoja yake.


h.sep3.gif
juu
blank.gif
Maoni ya Wasomaji
Maoni yanayotolewa na wasomaji wa safu hii ni ya kwao na sio maoni ya kampuni ya Freemedia Ltd. Aidha sio maoni ya mtunzi au mwandishi wa habari au makala husika hapo juu. Maoni haya hayajahakikiwa wala kuafikiwa na kampuni ya Freemedia Ltd.
Maoni 30 yameshatolewa. (Nawe toa maoni yako!)
Hawa mawaziri na maraisi wa Africa watakao kuiunganisha Africa kuwa nchi moja lazima wakae chini kujua Jambo hili kwanza.Zimbabwe ni mfano wa hasara za kuungana . Matatizo ya ndani bado kutatuliwa watu wanadakia umoja wa Africa!!!Tanzania imechelewa sana kuichukulia hatua Zimbabwe Zimbabwe makabila ya mashona na ndebele hayaivi kabisaa na ndiyo kwanza yananyimana haki za binadamu . Halafu huu pia ni ubovu wa serikali za majimbo kuna majmbo ambayo yanaona kinyaa kumuona mtu wa majimbo mengine akitawala.
bullet7.gif
na dtto likingezuma - 24.06.08 @ 09:50 | #18342

Zito ,maswala ya kuingilia Wazimbabwe yanakutoka wapi?Nilifikiria wewe unaweza kutafakari kuwa, nini chi za magharibi zinahitaji ,ndani ya Zimbabwe,Unatakiwa kujua hali ya nchi hiyo kwanza.Mgabe hana tatizo lolote,Tatizo la Mgabe ni kukaa madarakani kwa mda mrefu.Hili ndilo la kuzungumza.Mgabe hayupo pale madarakanikwa matakwa yake.Wapo wapiganaji wanaomuunga mkono arudishe mali zote na aridhi yote iliyochukuliwa na wazungu,Wazungu wamepandikiza watu wa kurudisha aridhi iliyochukuliwa na Mgabe kuwapa wazawa mali na aridhi.Hili ndilo tatizo kubwa la wazungu kuanzisha vurugu ndani ya Zimbabwe.Sasa mheshimiwa Zito ,Hapa tatizo ninini la kumrudisha balozi.Au kwa vile ulikuwa Marekani wamekupa maneno ya kukulainisha uweze kumwona aliyekomboa Zimbabwe ni mbaya.Elewa wakati anafariki Joshua Nkomo alimwambia Mgabe,Ninakuachia nchi hii uwarudishie aridhi wananchi .Ileahadi ndiyo inayoleta matatizo.Wazungu hawakupenda .Imewashushia hadhi.Zito zungumza ya mafisadi Epa na mikataba mibovu .Swala la Mgabe achieni watu wa maghalibi wanaotaka kuabudiwa.Africa unite

bullet7.gif
na mtzmweyeuchungu, tz, - 24.06.08 @ 10:52 | #18376

No NO NO Zitto,usiingilie masuala ya ndani ya Zimbabwe.Tuna mambo mengi ya kujadiuli nchini kwetu.Kwani sisi uchaguzi wetu ndiyo uko fair.Pigana kupata tume huru ya Uchaguzi Tanzania achana na wazimbabwe.NO NO to Zitto's Comments.Asante sana Mtz mwenye uchungu.
bullet7.gif
na David Villa, Tanzania, - 24.06.08 @ 08:06 | #18378

Achaaaaaa!kabisa Zito mambo ya Zimbabwe kwani Mugabe nimtu makini anajua anchokifanya na siyo mtoto.Morgan T wa MDC yuko nyuma ya Wamarekani&Waingereza so sio busara kumwacha atawale pale Zimbabwe litakuwa kosa kubwa.Na haya matatizo yote yameletwa na hao wazungu kwani Wameshaharibu bara letu kwa kuwaweka watu kama wakina Morgan T(MDC)
bullet7.gif
na fredrick laizer, Tumaini University-Iringa, - 24.06.08 @ 08:20 | #18384

hii ni distraction ambayo hatuihitaji wakati huu. Tumeikaba koo ccm na rais wake watatue matatizo chungu zima yanayotunyima usingizi sasa ukianza kuzungumzia ya zimbabwe utaipa serikali mwanya wa kebuni 'maelezo' mengine. mjuavyo, africa union na UN ni toothless bulldogs. Wanaitisha vikao kulaani kwa maneno ukiukwaji wa haki za binadamu full stop. uwezo wanao wa kuwaondoa viongozi wasiofaa lakini hata kwenye level hii kuna kukingiana kifua. Hizi ni club za mafisadi wa siasa. wakikutana kuna vicheko, back slapping na kunywa champagne. Kwao, maisha ya wananchi na mateso yao si kitu. Baada ya wao ni wao (after me is me-change in leadership is taboo).
bullet7.gif
na Gabriel - 24.06.08 @ 08:52 | #18396

Mimi kwa kweli sasa naona umuhimu wa kuwa na wabunge wengi vijana katika Bunge letu tukufu. Yaani nilikuwa nangoja mtu wa kuwa sensitive kama wewe. Hali ya Zimbabwe inalitia aibu bara letu. Hawa wazungu wana haki ya kutudharau kwa kweli. Matamshi ya Mugabe yalinisikitisha kwa sababu niliona alipoikandamiza democrasia kwa kiwango cha juu saana. Na kuna haja ya kumrudisha balozi wetu nyumbani ili Mgabe ajue kuwa hatukubaliani na matamushi yake hata kidogo. Kwa nini sasa akaitisha uchaguzi???
bullet7.gif
na Leonard, Tanzania, - 24.06.08 @ 09:04 | #18399

Tunataka wabunge kama Zitto ambao sio wanafiki. Wachangiaji hapo juu mtzmwenyeuchungu, david na frederick ni wanafiki wenye jazba na pia uelewa wenu ni mdogo. Umoja wa mataifa umetoa tamko leo kumlaani Mugabe na inaonekana sio mwisho maana wanaoumia ni wananchi na UN haiwezi kukaa kimya.Un ni dunia nzima, waafrika na wazungu na walimwengu wote. Swali NI kwa nini Mugabe ameitisha uchaguzi kama hayuko tayari kukubali matokeo? Hakuna mwenye akili ambae atakubaliana na hoja za Mugabe kwamba Tsavingirai ni kibaraka wa wazungu. Ndugu zangu ni vizuri hoja inapotolewa tuijadili na sio kuangalia nani kaitoa. Suala la ardhi lilishakwisha siku nyingi ndio maana Mugabe alishinda uchaguzi uliopita na sasa hana sera nyingine zaidi ya kuwa 'Mungu amenipa nchi hii'.Zimbabwe ni sehemu ya Dunia hivyo kinachotokea pale kwa namna moja au nyingine kitatuathiri ndio maana naunga mkono hoja ya Mh.Zito kuwa Bunge lijadili hali ya mambo na kutoa msimamo. Jambo hilo ni muhimu ili kuwa na kauli moja kama nchi, na bungeni ndio mahali pake maana lile ni wananchi ndio wameongea, mambo ya kusubiri mpaka kwanza waziri au rais azungumze ni kurudisha enzi za zidumu fikra za mwenyekiti. Kuna aibu kidogo tulipata wakati wa vurugu zilizotokea nchini Kenya mwezi Januari. Kuna wakimbizi walikuja Tanzania na walipofika walizuiwa na maafisa uhamiaji eti hawana habari kama Kenya kuna machafuko, na jambo hili sio waziri wala rais aliyewaomba msamaha wakenya wale. Tukubali au tukatae ile ni aibu. Tatizo letu ni kuwa watumishi hawako huru kufanya hata
maamuzi madogo. Tutatakiwa kuachana na dhana mbaya zilizojengeka muda mrefu katika bara hili za rais wa maisha na mshindi wa uchaguzi kudharau wapinzani wake. Mambo haya yatatokomezwa tuu mabunge ya nchi zetu za kiafrika yatakaposhikia bango na kutoa matamko kulaani matukio kama haya ya Zimbabwe.
bullet7.gif
na Mfuatiliaji, tz, dsm., - 24.06.08 @ 09:13 | #18401

Wee Zitto, acha kurukia mambo mbona kura za CUF zinapoibiwa haujawataka mabalozi wa nchi za nje waondoke nchini.

Acha Mugabe apambane na vibaraka wa Uingereza na Marekani. Kama kweli Waingireza wanataka haki na demokrasia, iweje asilimia 92% ya ardhi yenye rutuba ikaliwe naz walowezi 200????????????????????

Zitoo waabie Walowezi kwanza waachie ardhi ndipo uoji uchaguzi huru.

Uchumi wa Zimbabwe umeharibiwa na Nchi za Magharibi zinazotaka walowezi wasibanwe kuachia ardhi

Wazimbabwe wanapigia kura MDC siyo kwakukipenda bali wanadhani hali mbaya ya uchumi itatengamaa kwa vile Vibaraka ndo kipenzi cha wakoloni wa zamani wa Zimbabwe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
bullet7.gif
na bill - 24.06.08 @ 09:40 | #18408

NAFIKIRI NA NINAHUHAKIKA KWAMBA ZITTO YUKO SAWA, WATU MNAO SEMA MAMBO YA ZIMBAWE HAYATUHUSU NI WATU WENYE MAWAZO FINYU.KWA KUWA LINAOTOKEA SASA ZIMBABWE VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA WENYE UCHU WA MADARAKA WANAANGALIA TU WAONE JUMMUIYA YA KIAFRIKA NA MATAIFA MENGINE WATAFANYA NINI? WAKIONA HAKUNA CHOCHOTE KINAFANYIKA KESHO WATAFANYA KATIKA NCHI ZAO INAWEZEKANA KABISA YAKATOKEA TANZANIA.SASA TUWE WAKWELI KUAMBIZANA MAMBO YA MSINGI. MIMI NIPO HAPA AFRIKA YA KUSINI, NINA MARAFIKI WAZIMBABWE WAKATI WALIKIZO NIMEPATA BAHATI YA KUTEMELEA HUKO, ASIKUMBIA MTU HALI NI MBAYA SANA, MAISHA NI MAGUMU.SASA YOYOTE WMENYE UWEZO WA KUTOA MSAADA KUREKEBISHA HALI YA MAMBO AFANYANYE HIVI.ZITTO HUKO SAHIHI KABISA
bullet7.gif
na Saluvatory, South Africa, - 24.06.08 @ 09:54 | #18415

Haitaji elimu kubwa kufahamu kuwa Zitto ni mbunge mwenye ufahamu mkubwa, wakipatikana 10 kama yeye tutapata mabadiliko makubwa tz afrika pia.Wakati Mwl Nyerere anahangaika na uhuru wa nchi za kusini wma afrika, je TZ haikuwa na mambo ya kufanya?
Wote mnaopingana na Zitto upeo wenu ni mdogo na inawezekana ndio mnaochangia kurudisha taifa nyuma kwa kuchangua viongozi wakiwemo wabunge ambao si makini.
Wakati umefika Mugabe aachie ngazi.
bullet7.gif
na Noni Yaza, Shinyanga Tanzania, - 24.06.08 @ 10:01 | #18417

wewe mdau wa mtzmweyeuchungu, tz, - 24.06.08 @ 10:52 | #18376

jaribu kuona hali iliyopo nchini zimbabwe,wananchi wanakufa(karibu watu 70)wanateswa na milioni 4 wamekimbia nchi!
mugabe ameapa kutokabidhi nchi akishindwa na ataingia msituni!
duru ya kwanza ya uchaguzi mugabe ameshindwa vibaya!
msioelewa mnazilaumu nchi za magharibi wakati matatizo yote haya yanasababishwa na udikteta,uchu wa madaraka na uongozi mbovu wa mugabe!
kisingizio ni kuwa anataka kurejesha ardhi kwa wazawa kwa miaka 27 ametawala watu na agenda ni kurejesha ardhi kwa wazawa!
tanzaimewekamsimamo wake kuwa uchaguzi wa zimbabwe hautakuwa huru na wa haki zimbabwe imemwita nyumbani balozi wake nchini nini maana yake kama si kuvunja uhusinao wa kidiplomasia?kisa tazani kusema ukweli!
na huu ni mfano wa jinsi mugabe alivyo dikteta mmbaya!

wakati umefika mugabe aondoke kwa hiari yake au ang'olewe kama kanali bakari!
ongera mhe.zitto kwa upeo mkubwa na kuona mbali ni mfano wa wabunge nchi inaowahitaji
bullet7.gif
na jingo - 24.06.08 @ 10:08 | #18422

Mheshimiwa Zitto Tanzania haina tume huru ya uchaguzi ni vyema sana kama tutamsaidia kwa hali na mali mch Mtikila kwenye kesi anayotaka kuifungua hili na sisi tuwe na tume huru ya uchaguzi[wakaazi wa Arusha mjini wanakumbuka hata mbunge wa sasa hatukumchagua].Tanzania tangu enzi za mwl Nyerere imekuwa na desturi ya kusahau kushughulikia mambo yake ya ndani na kukumbilia mambo ya nchi nyingine.Tulipigana kuzikomboa nchi za Msumbiji,Zimbabwe,Zambia na South Afrika,leo hii watanzania waliokuwa wanaishi South Afrika wametimuliwa hawatakiwi kabisa kuonekana huko wamesahau kuwa tulimwaga damu kwaajili ya uhuru wao.Mheshimiwa Zitto Tanzania ina mambo mengi ya kujadili kama EPA,Richmond na nk,jamaa wa CCM wamefurahi kweli kwamba mambo muhimu yanayowasibu watanzania yatasitishwa kujadiliwa kwa muda na kurukia mambo ya Zimbabwe.Mambo ya Zimbabwe tuwaachie South Afrika kwasababu ndiyo itakayo athirika kwa kupokea wakimbizi.
bullet7.gif
na G KABONDE, ARUSHA,TANZANIA, - 24.06.08 @ 10:16 | #18430

mhe.zitto yupo sahihi kabisa kuliona tatizo la zimbabwe na kuomba bunge lijadili,watu wanomkosoa kwa hili upeo wao wa kufikiri ni mdogo sana kwani hawajui kuwa matatizo ya zimbabwe ni matatizo ya afrika,nyerere,kwame nkurumah waliliona hili,ongera zitto kwa muono wako wa mbali!

zimbabwe ikilipuka vita tanzania hawezi kuwa salama,itapata matatioz tele ikiwamo kupokea wakimbizi nk,pia tanzania-raisi wetu ni mwenyekiti wa AU hivyo mhe.kabwe ni kama amemkumbusha mhe.mwenyekiti atoe tamko na kuweka msimamo wa nchi wazi na mapema!
bullet7.gif
na watz - 24.06.08 @ 10:17 | #18431
 
Hawa wanaokulaumu wanatakiwa wasome Keith Richburg's Out of America: A Black Man Confronts Africa. Huyu jamaa mweusi, pamoja na mambo mengine, anaeleza kwa nini yeye anashukuru kwamba alizaliwa nje ya bara la Afrika.

Tatizo letu wengi wafrika tupo kwenye denial na ndio maana tunashindwa kutatua matatizo yetu. Ni vigumu kutatua tatizo hadi ukubali kwamba una tatizo. Sasa sisi kama hadi leo kuna watu wanamsifia Mugabe na wanakubaliana na utahira wake kwamba yeye ataondolewa na Mungu, na hawa wanaosema hivi ni vijana ambao wengine watajakuwa viongozi wa nchi za Afrika, wewe unafikiri kuna kupona hivi karibuni? Hawa akina Serukamba si ndiyo marais na wakuu wa AU huku mbele, sasa hapo unaona kuna mwanga kweli?

Kitila / Nyani,

Binafsi sikatai kwamba tuna matatizo.Nafahamu kwamba hatua ya kwanza katika kutatua tatizo ni kulitambua na kama uko katika denial huwezi kutatua kitu, najua mficha ugonjwa kifo humuumbua.

Tatizo langu na kauli za Nyani ni hii gross generalization ya "Waafrika Ndivyo tulivyo"

Kweli tuna vibabu vikaidi ambavyo vina umangimeza na ubazazi uso haiba kama vikina Mugabe, tuna mijizi kama kina Mkapa na miuza madawa ya kulevya kama kina Chiluba, kuna kina uppity-head-in-the-cloud utopian intellectual Thabo Mbeki.Lakini tuna kina Zitto wanasema, kuna kina Kagame wamekemea, kuna kina Khama wa Botswana wamerudisha mabalozi.Kuna kina Jamii Forum na Dr. Slaa wanabadilisha jinsi watu wanavyofanya kazi katika serikali.

Sasa tukubali tu kuwa waafrika ndivyo tulivyo?

Kwangu mimi kauli hii ina racism, it is a blatant resignation declaring that our problems are innately written in our DNA and there is nothing we can do about it.

Usisemetu Waafrika ndivyo tulivyo, unafanya nini kutubadilisha?
 
Hoja ya Zitto bungeni ni nzito na kama serikali tuliyonayo igekuwa adilifu haikutakiwa hata kusubiri hoja itoke kwa mbunge awe wa upinzani au wa chama tawala, lakini kwa vile Bunge ni la chama tawala naamini hakuna lolote litalofanyika - pengine inaweza kujadiliwa tu, kwa nini wamshutumu Mugabe na kuondoa Balozi wetu nchini humo wakati hata hapa nyumbani ( nikimaanisha Zanzibar) yanafanyika kama hayo ingawa kiwango cha Zimbabwe kinatisha lakini kila uchaguzi mkuu basi Zanzibar raia wote wanaoshutumiwa kunga mkono upinzani basi huwa katika hali ya mateso ikiwa ni pamoja na kupigwa na Janjaweed, kufunguliwa kesi za kubandikiwa nk kwa hivyo tusitegemee kubwa kutoka kwa serikali ya CCM ambayo yenyewe hawajakubali demokrasia ichukue nafasi yake.

Huwa kila siku natamani waafria tutatue matatizo yetu wenyewe lakini bila ya shinkizo la mataifa makubwa ya Magharibi Mugabe ataendelea na udikteta wake na Mungu atunusuru lakini ataipeleka nchi kubaya na yanaweza kutokea yake yalotokea Rwanda.
 
Zaidi ya masaa 48 toka itangazwe Bungeni, nasubiri news reports zinazosema Zimbabwe imemwita Balozi wao wa Tanzania nyumbani.

Mara ya kwanza tulipoambiwa Zitto katangaza nia ya Urais, wengine tukasema kachemka, kumbe magazeti yametuongopea. Mimi nikamwomba msamaha Zito kwa kuamini magazeti.

Sasa hivi sitaki kabisa kukurupuka kuswalisha utata wowote kuhusu matamshi ya Zitto. Niliposikia hiki kitu kinasemwa Bungeni kwa mara ya kwanza, japo nilishangaa kwamba hatusajakisikia kwingine, nilisema sio ajabu Zitto amepata "dataz" official ambazo bado hajijatangazwa. Siku ya pili nikasema "I hope and pray for Zito, that he made this important assertion based on official communication by Zimbabweans."

Leo siku ya tatu, naomba kuuliza tena ndugu zangu: kuna mtu kesha sikia lolote rasmi kuhusu Zimbabwe kumuita balozi wao nyumbani kama Mh. Kabwe alivyo sema BUngeni?
 
Barua ya Bw. Tsvangirai kujitoa katika kinyang'anyiro cha Uraisa. Kutokana na sababu alizo zitoa ni haki kwake kujiondoa. sasa ni nafasi ya foreign forces ili kumwonyesha Mugabe kwamba hatumuungi mkono.

Attention: Honourable Justice Chiweshe
The Chairman Zimbabwe Electoral Commission
7th Floor, Century House HARARE

Dear Sir, Re: PRESIDENTIAL RUN-OFF ELECTION SCHEDULED FOR THE 27TH JUNE 2008

I write this letter to advise you that for reasons set out in this letter, it is no longer possible for the holding of the Presidential run-off election set for the 27th June 2008. In my considered view, the conditions presently obtaining thoughout the country make it virtually impossible for a proper election envisaged in both the Constitution of Zimbabwe and the Electoral Act [Chapter 2.13] to take place. This being the case, the election scheduled for Friday 27th June 2008 cannot be an election as provided for by our law and accordingly, it will be a nullity if it were to be proceeded with. Section 107 of the Electoral Act deals with the withdrawal of candidature from a Presidential election. Subsection 1 thereof provides that a nominated candidate for election as President may, by notice in writing addressed to the Chief Election Officer withdraw his or her candidature before 21 days from the day or first day as the case may be on which the poll in an election to the office of President is to be taken. This section in my respectful view does not apply to a Presidential run off election. Section 110 (3) provides that where two or more candidates for President are nominated, and after a poll taken in terms of subsection (2) no candidate receives a majority of the total number of valid votes cast, a second election shall be held within 21 days after the previous election. It is quite clear therefore that Section 107 (1) was clearly not designed for a presidential run-off election as it would not make sense to expect a candidate from a presidential run-off election to give 21 days notice of his/her withdrawal where such election has to be held within 21 days anyway. Section 107(3) makes it much more clearer that Section 107 does not apply to a presidential run-off election. It provides that:- "where a candidate for election as President has withdrawn his/her candidature in terms of this section, the sum deposited by or on his behalf in terms of subsection (1) of Section 105 shall be forfeited and form part of the funds of the commission". No money was ever deposited for the Presidential run-off election in terms of Section 105 by any candidate. Furthermore, there has been no rules prescribed for the conduct of a presidential run-off election and in particular the notice period set for the withdrawal of candidature by a participant. Accordingly, any candidate wishing to withdraw his candidature is free to do so at any time before such an election. In any event, as I have already pointed out, the election set for the 27th June 2008 is not a proper election but a nullity. In the circumstances, the question of the withdrawal from such an election and the notice thereof cannot be an issue. REASONS FOR WITHDRAWAL In terms of Section 61(4) of the Constitution of Zimbabwe, the Zimbabwe Electoral Commission is obliged by law to ensure that elections are conducted efficiently, freely, fairly, transparently and in accordance with the law. Section 3 of the Electoral Act sets out in detail the principles which must govern democratic elections. This Section provides as follows:- "Subject to the Constitution and this Act, every election shall be conducted in a way that is consistent with the following principles- (a) the authority to govern derives from the will of the people demonstrated through elections that are conducted efficiently, freely, fairly, transparently and properly on the basis of universal and equal suffrage exercised through a secret ballot; and (b) every citizen has the right- (i) to participate in government directly or through freely chosen representatives, and is entitled, without distinction on the ground of race, ethnicity, gender, language, political or religious belief, education, physical appearance or disability or economic or social condition, to stand for office and cast a vote freely; (ii) to join or participate in the activities or and to recruit members of a political party of his or her choice; (iii) to participate in peaceful political activity intended to influence the composition and policies of Government; (iv) to participate, through civic organisations, in peaceful activities to influence and challenge the policies of Government; and (c) every political party has the right- (i) to operate freely within the law; (ii) to put up or sponsor one or more candidates in every election; (iii) to campaign freely within the law; (iv) to have reasonable access to the media". What has been going on in this country immediately after the elections held on the 29th March 2008 is a clear testimony that the elections scheduled for the 27th June 2008 cannot be held efficiently, freely, fairly, transparently and in accordance with the law. On the 21st May 2008, after having noted the sad events that were happening, I instructed my Legal Practitioners Dube Manikai & Hwacha to write a letter to you setting out in detail various concerns which were an impediment to the holding of a free and fair election. For ease of reference, I attach a copy of the said letter. Sadly, that letter was neither acknowledged nor responded to. In my view, if your commission had taken steps to abide by its constitutional mandate, the situation would have probably not worsened. Regrettably, the situation since the letter from my lawyers has worsened to such an extent that no proper election can be carried out. I set out below few examples of the adverse conditions that vitiate the holding of a free and fair election as envisaged in our law:- 1. THE FAILURE BY THE ELECTORAL COMMISSION TO ENSURE FREE AND FAIR ELECTIONS Your Commission has failed to discharge its mandate in the following respects; 1.1 Your Commission failed to declare a winner of the Presidential elections as provided for in the Third Schedule of the Electoral Act. This point was well articulated by my lawyers in their letter of the 21st May 2008 and I associate myself with the submissions made in that letter in regards to this issue. In my view, a Presidential run-off election should have been conducted after due compliance by your Commission and in particular the Chief Election officer with this Section. 1.2 Your Commission has failed to stop and/or condemn continued utterances by senior Zanu PF officials including Mr Robert Mugabe to the effect that irrespective of the election result, Mr Robert Mugabe was not going to move out of his office. The failure by your Commission to condemn such utterances right from the beginning clearly encouraged Zanu PF, war veterans aligned to Zanu PF, senior Zanu PF officials and Mr Robert Mugabe to make it their theme during their campaigns that a President does not come to power through the electoral process but rather through the barrel of the gun. This theme which has become pervasive thoughout the Zanu PF campaigns makes people wonder whether we are in an election or in a war. 1.3 Your commission failed to abide by the provision of the Electoral Act when it failed to conduct the presidential run-off election within 21 days from the date of announcement of the presidential elections results conducted on the 29th March 2008. 2. VIOLENCE The violence currently obtaining in this country which has resulted in numerous deaths, destruction of homes, displacement of various people and injuries to people is something that is clearly in the public domain. As of today, the country has recorded at least 86 deaths, 10 000 homes destroyed , 200 000 people displaced and 10 000 people injured. The victims have been MDC supporters. The violence has been clearly state sponsored and carried out in most cases by members of the Zimbabwe National Army and ZANU PF militia. It is true that in some instances our supporters have fought back, inmost cases in self defence. Because of our inability to access the rural areas, the above statistics may be understated. If this present scenario is compared to the period towards the 29 March harmonised election, it is evident that the conditions on the ground have fundamentally changed for the worse. The above statistics clearly show that the electoral environment is not conducive to the holding of a free and fair election. 3. THREATS OF WAR Throughout its campaigns, Zanu PF has threatened that there will be war if an MDC win in the presidential run-off is pronounced. Mr Mugabe made it quite clear recently that power cannot be taken by a pen but by a gun. War veterans aligned to him have articulated this position throughout the country. These sentiments were echoed by senior Zanu PF officials including the President's wife when she clearly made the point that even if I was to win, I was never to set my foot at the State house. Mr Mugabe also came out on National television encouraging his party members to conduct a war-like campaign. These kind of threats coming as they did from Senior Zanu PF officials including the President of Zanu PF should certainly be taken seriously. Indeed, these threats were taken seriously by our population with the result that a free and fair election is something that cannot be dreamt of under these conditions. 4. PARTICIPATION OF THE UNIFORMED FORCES IN ZANU PF CAMPAIGNS It is common cause that the Zimbabwe National Army through its senior officers has actively campaigned for Zanu PF and continues to do so. This has been the position with the Zimbabwe Republic Police where senior officials have publicly campaigned for Zanu PF. As if this was not enough, the senior officers of the uniformed forces have forced junior officers to vote for President Mugabe. On the 18th June 2008, my lawyers wrote to you advising you of these developments and the fact that officers from the police, prisons and the army were forced to apply for postal ballots. These officers from the reports we have received have already voted in the presence of a senior officer and were forced to vote for Mr Robert Mugabe. I attach herewith a copy of my lawyers letter dated 18th June 2008 which letter as usual was neither acknowledged nor responded to. In the circumstances, one cannot talk of a free and fair election which can be conducted on the 27th June 2008. 5. INTIMIDATION The level of intimidation which is currently being subjected to our population particularly in the rural areas is alarming. People are being forced to attend Zanu PF meetings during the night. People are being told to record serial numbers on the ballot papers and disclose them to Zanu PF official who are responsible for carrying out the intimidation. These incidents have been brought to your attention but unfortunately nothing has been done by your Commission by way of assuring the voters that their votes are secret as was the case during the run up to the March harmonised elections. Infact, the voter education campaign which was reasonably conducted during the run up to the March 2008 harmonised election has not been repeated. You have simply allowed Zanu PF, war veterans aligned to Zanu PF and Robert Mugabe to scare the people by suggesting quite clearly that presidential run-off vote is between a choice of war and Robert Mugabe. In my view, there can never be a free and fair election under these circumstances. 6. NON-ACCESS TO MEDIA The law clearly provides that a political party is entitled to enjoy reasonable access to the media. My party booked space for its advertisements with Zimpapers newspapers namely Herald, Sunday Mail, Chronicle, Sunday News and the Manica Post which adverts were to commence on the 13th June 2008. We were advised that our publications could not be published because of the shortage of newsprint. What surprised us was that Zanu PF's campaign advertisements are being carried in these newspapers on a daily basis. We also encountered problems with our electronic advertisements with the Zimbabwe Broadcasting Holdings which effectively resulted in our failure to have access to media. This is in sharp contrast with what occurred during the run up to the March 2008 harmonised elections where we were given reasonable access to the media. The importance of media advertisement in any election is quite critical and it is for this reason that media access was specifically provided for in our law. Without this right, there can be no free and fair elections. 7. THE BANNING OF MDC RALLIES AND MEETINGS AND DISRUPTION OF MDC MEETINGS Since I launched my campaign for the presidential run-off elections, I have encountered numerous difficulties occasioned by agents of the State. I have been detained at police stations on numerous occasions and thereby denied time to campaign. Our meeting and rallies have been banned by the police. We have had to approach the High Court on no less than 3 occasions for the court to intervene to enable us to go ahead with our rallies. On the contrary, Zanu PF is being allowed to conduct its campaign rallies even during the night. In the few cases that our rallies have been allowed to go ahead pursuant to these Court Orders, Zanu PF supporters have disrupted such rallies. On Sunday the 22nd June 2008, our star rally in Harare, in respect of which a High Court Order had to be applied for to proceed with such rally was disrupted by Zanu PF supporters. Clearly it is impossible for any political party to campaign let alone to exist without being allowed to have access to the voting population. In these circumstances, it cannot therefore be said that the environment presently obtaining is conducive for the holding of a free and fair election. DISENFRANCHISEMENT OF VOTERS AND LACK OF ACCESS TO RURAL AREAS As you are aware voting in the Presidential election is constituency and ward based. In other words no person can vote outside his or her constituency and ward. The massive displacement of people already referred to herein (mainly from rural to urban areas) will result in the disenfranchisement of these people. The confirmed reports we have received confirm that there has been massive and systematic confiscation of national identity documents of our supporters by ZANU PF militia and people claiming to be war veterans. Until our supporters are able to replace these identity documents (which cannot be done by Friday 27 June 2008) they are obviously not going to be able to vote. Furthermore, more than two thousand of our polling agents throughout the country have been arrested and kept in custody on flimsy allegations. They will certainly be unable to vote. We have trained replacement polling agents, but unfortunately we cannot possibly make arrangement for their deployment in rural areas as it is common cause that the rural areas have virtually been sealed off by ZANU PF militia, some members of the Zimbabwe National Army and people claiming to be war veterans. We will therefore be unable to deploy polling agents at more than 50% of the polling stations in rural areas. Certainly there can be no pretence of holding a free and fair election under these conditions. From the foregoing and indeed due to several other reasons not necessarily covered in this letter, it is quite clear that no proper election can be held under the present conditions. The present conditions constitute a good example of conditions that vitiate the holding a free and fair election. My party and I have been giving serious consideration to this whole issue for some time, during which time it was hoped that a semblance of a conducive environment may be created as has been the case with other elections where we have participated under protest. The situation obtaining now is very different from what has been experienced in this country since independence. The violence, intimidation, death, destruction of property is just too much for anyone to dream of a free and fair election let alone expect our people to be able to freely and independently express to free themselves. For this reason, my party and I have resolved that we cannot be part to this flawed process. For the avoidance of any doubt the presidential election question remains unresolved until such time a free and fair election is held. We accordingly urge you to abide by your mandate clearly spelt out in our constitution and in particular ensure that a proper environment conducive for the holding of an efficient, free, fair, and transparent election is held in the shortest period of time possible. It is only in that kind of an election that my party and I will participate in. By copy of this letter ZANU PF's candidate Mr. Robert Mugabe, the Chief Election Officer and your Commissioners are advised accordingly.

Yours sincerely Morgan Tsvangirai
PRESIDENT MOVEMENT FOR DEMOCRATIC CHANGE

Cc: Mr. R. G Mugabe (ZANU PF Headquarters)
Cc: ZEC Commissioners
 
Leo siku ya tatu, naomba kuuliza tena ndugu zangu: kuna mtu kesha sikia lolote rasmi kuhusu Zimbabwe kumuita balozi wao nyumbani kama Mh. Kabwe alivyo sema BUngeni?


Habari zilizopatikana kutoka Ubalozi wa Zimbabwe hapa nchini ni kuwa Balozi wa nchi hiyo nchini, Meja Jenerali Edzai Chimonyo aliondoka Ijumaa mchana. Mhudumu wa Ubalozi huo, alidai Balozi amerudi kwao kwa ajili ya uchaguzi na atarejea tena mara baada ya uchaguzi!

Sasa Bwana Zitto inawezekana ana mtandao mpana zaidi, lakini hili linaweza kuthibitishwa na Wizara ya Mambo ya Nje, lakini inawezekana na wenyewe hawakuwa na taarifa, maana wizara zetu kwa kutegemea "land-line" hawajambo!
 
Viongozi wa dini naona wamefuata ushauri...Kwani nasikia spika amewaalika nao waende kusikiliza nani anasema nini!
Kwani Tanzania huu ni wakati wa MUNGU!
 
Habari zilizopatikana kutoka Ubalozi wa Zimbabwe hapa nchini ni kuwa Balozi wa nchi hiyo nchini, Meja Jenerali Edzai Chimonyo aliondoka Ijumaa mchana. Mhudumu wa Ubalozi huo, alidai Balozi amerudi kwao kwa ajili ya uchaguzi na atarejea tena mara baada ya uchaguzi!

Sasa Bwana Zitto inawezekana ana mtandao mpana zaidi, lakini hili linaweza kuthibitishwa naWizara ya Mambo ya Nje...inawezekana na wenyewe hawakuwa na taarifa,[/COLOR] maana wizara zetu kwa kutegemea "land-line" hawajambo!

Kama Foreign Ministry hawana taarifa ina maana hawajapewa taarifa, au kusikia chochote kutoka Harare.

Zitto, ndugu zangu, kakisikia wapi hiki kitu ambacho mfanyakazi wa Ubalozi wa Zimbabwe aliyeko Tanzania kashindwa kukithibithisha?

Kama Harare wamemwita balozi wao nyumbani, iweje wabakize staff wengine Tanzania wanajibu maswali kuhusu whereabouts za balozi? Si shughuli za kibalozi zingesitishwa immediately, Ubalozi wao ungefungwa kwa sasa? Vinginevyo kuita balozi nyumbani si kungekuwa hakuna maana?

Na kama balozi wao aliitwa nyumbani bila Harare kusema ni kwa sababu wana protest the new stance from Dar-es-Salaam, kwanini Zitto ameisoma hiyo move kama ni oficial diplomatic conflict ambayo ndio kuita balozi nyumbani kunavyo maanisha?

I hope and pray for Hon. Kabwe, that the assertion he made in Parliament was based on official communication from Harare to the world, that they were protesting or severing diplomatic ties with Dar-es-Salaam.
 
Back
Top Bottom