Zitto awasilisha Bungeni hoja kuhusu Zimbabwe

Kitila,
Mimi nakubaliana nawe kwamba bado safari ni ndefu sio tu Tanzania bali Afrika. lakini Ipo siku tutafika
 
Mkuu nakubaliana na hoja zako, lakini kwa jinsi ninavoijua Zimbabwe na interest za Uingereza na US kwa nchi hiyo, nalazimika kusema kwamba ni heri Mugabe akaendelea kuitawala nchi hiyo hata kwa miaka minne zaidi.

MUNGU IBARIKI ZIMBABWE.

Kaishi basi na wewe kule Zimbabwe usikie utamu wa kuchomwa na kiginga cha moto matakoni,mgongoni na mikononi na ukinusulika kufa, then uje hapa ili uendelee kutoa hoja kama hizi. Aibu tupu!!!
Kama Mugabe ana ugomvi na USA na Uingereza kwanini anawachoma moto watu wake?? Wazimbabwe wanasikia maumivu yanayosababioshwa na Mugabe zaidi kuliko yanayosababishwa na USA na Uingereza. Kama yeye anaona anachofanya ni halali, then awaachie wananchi wa Zimbabwe waamue kiaongozi gani atawafaa kwa sasa kuendeza vita against USA na Uingereza.
 
Tuko pamoja Zitto, mpaka kieleweke.

What others say,

No sign of an end to the horror
Jun 19th 2008 | HARARE AND JOHANNESBURG
From The Economist print edition


Robert Mugabe seems determined to steal the presidential run-off but Africa may be slowly turning against him and talk of a unity government has intensified


AS ZIMBABWEANS prepare to vote in a second and final round to elect a president on June 27th, the chances of an early and peaceful end to the country's misery look remote. Following the first round on March 29th, which even President Robert Mugabe and his officials had to admit was won by the opposition Movement for Democratic Change (MDC), the regime is inflicting a shocking wave of violence against its own citizens. Though Morgan Tsvangirai, the MDC candidate, sounds buoyant about his chances, it is hard to see how he will be allowed to win.

In an orchestrated campaign of intimidation, pro-government militias, backed by the army, are doing all they can to make sure Mr Mugabe keeps his job. According to the MDC, at least 65 of their people have been killed, and thousands tortured and forced to flee their homes. Earlier this month, Human Rights Watch, a New York-based group, documented a systematic campaign of violence, torture and intimidation against civic organisations, lawyers and journalists, as well as the MDC.

Malcolm (not his real name), a teacher who runs a rural school near Chivhu, a small town south of Harare, the capital, in the ruling party's one-time stronghold of Mashonaland East, considers himself lucky. Like many of his colleagues, he was a polling officer in the first round. A few weeks ago, a group of youth militia from the ruling ZANU-PF marched into his house and accused him of telling people to vote for the opposition. He managed to fend them off, with the help of the police, but lives in fear and no longer leaves his house without an axe.

Some of his colleagues were not as lucky. When pro-government militias visited a nearby school, they burnt houses to the ground. Teachers struggled to rescue their children from the flames and were severely beaten. Malcolm says they went to the police, who arrested the culprits but freed them after pressure from the ruling party. The school remains closed.

The pattern is being repeated across the country. Patience and her husband, who were also accused of supporting the MDC, were left for dead in Mtoko, north-east of Harare, after their home was ransacked and burnt down. She was in hospital for two weeks. Her husband's right arm was broken, his body serrated by burns and beatings. "They used whips with metal ends on both of us," says Patience.

Cities have not been spared either. In the poorer suburbs of Harare, which are strongly pro-MDC, militias patrol the streets, harassing anyone who fails to display ruling-party T-shirts or scarves. In Mbare, one of the largest of Harare's poor districts, people are being forced to attend night vigils; suspected opposition backers have been badly beaten up.

It has become increasingly hard for opposition leaders to campaign normally. Mr Tsvangirai has been repeatedly detained without charge. The MDC reports that vehicles used for campaigning have been seized. Arthur Mutambara, the leader of an MDC splinter that is now backing the main opposition again, was put behind bars for writing an editorial against Mr Mugabe; he is now out on bail. The MDC's secretary-general, Tendai Biti, has been in prison since his arrest at Harare airport after coming back from South Africa earlier this month. The police have accused him of treason, a capital offence, though he has yet to be charged. Human-rights lawyers and magistrates have also been targeted; several have fled the country, fearing for their lives.

Areas where the ruling party's grip has slipped have become hard to get to: roadblocks control people's movements and even foreign diplomats have been stopped and threatened. The government ordered international aid agencies, which it accuses of working for the opposition, to stop most of their work.

Though African observers have strengthened their presence, the few hundred on the ground will struggle to cover the 9,231 polling stations peppered around the country. Western and UN observers have not been allowed in. The Zimbabwe Election Support Network, an independent local outfit that deployed some 8,000 observers in the first round, is still waiting to get accredited to monitor the run-off. Its members have been hunted down and beaten.

The repression has steeled some people's resolve. "Of course I will vote," says Malcolm, the rural teacher. In Harare's pro-opposition suburbs, many are pumped up. "I'll be waking up at 4am to go vote," says one. But others are discouraged, having lost faith in the power of elections to bring about change. "What's the point when we all know the result?" asks Kudzai, a young man who has just run away from Mhondoro, 120km (75 miles) from Harare, where the wife of an MDC leader had her hands and feet chopped off before she was burnt alive in her hut.

It's up to the neighbours now
A growing number of prominent Africans are speaking out. Marwick Khumalo, a Swazi who heads the Pan-African Parliament's observer mission, says his team has had reports of horrendous attacks; it was clear, he said, that the poll could not be fair if the violence went on. The leaders of neighbouring Botswana and Zambia are despairing of Mr Mugabe's antics. Tanzania's foreign minister, in a notable breaking of ranks, said there was "every sign that the elections will never be free or fair". Kenya's prime minister, Raila Odinga, has castigated Mr Mugabe. A group of Africa's great and the good, including former UN secretary-general Kofi Annan, two former secretary-generals of the Organisation of African Unity (before it turned into the African Union) and 19 former presidents and prime ministers, has called for a free election and an end to the violence.

The UN has sent an envoy, Haile Menkerios, an Eritrean, while South Africa's President Thabo Mbeki, whom the southern African region had previously mandated to mediate between the MDC and ZANU-PF, has continued his efforts to achieve a negotiated settlement. But in South Africa, too, politicians in the ruling African National Congress, including its new leader, Jacob Zuma, are increasingly reluctant to tolerate Mr Mugabe.

As African opinion turns against him, a frantic round of diplomacy is under way in an effort to head off what some fear may turn into a bloodbath. Some ZANU-PF sources say-but others deny-that a place in a national unity government was offered to the MDC. But the MDC says that democracy should be respected and that the result of the parliamentary contest, which it won by a slim margin, gives it the right to form a government. Moreover, it says, an MDC-led government would include some from the ruling party as well as non-party technocrats.

If the election does go ahead and Mr Mugabe wins, even organisations like the Southern African Development Community, the 14-country regional club that has been loth to criticise Mr Mugabe publicly, may become reluctant to accept his legitimacy. He may also come under stronger pressure from elsewhere in Africa, as well as from the West, to accept that Mr Tsvangirai and the MDC should play a big role, not just a token one (as some ZANU-PF people suggest), if a unity government were formed. That sort of compromise, rather than Mr Tsvangirai in outright command, is what most African governments are betting on. If Mr Mugabe resists indefinitely, some African countries may even start to contemplate economic sanctions-cutting off supplies of electricity, for instance-that could jolt him into giving way.

So Mr Mugabe may hold on for a while. But support for him, in the region as well as at home, could start to ebb away.
 
Mkuu hapo tupo pamoja swala la zimbabwe linaweza kusubiri tumalize kwanza ya kwetu yanayotuumiza vichwa. kwa kutoa angalizo tu ni kwamba Serikali yetu ifunge ubalozi wetu kule kama wao na itoe tamko kwa watanzania wanaoishi zimbabwe warudi kwanza nyumbani mpaka hapo hali itakapotulia. KODI wanayosaga wabunge pale Dom kwa siku inatisha wakiongeza tena siku kwa swala la ZIMb mmhh!! itatuumiza. Kama wao wamemwondoa balozi wao kwenye nchi ya amani sisi tunachelea nini kumtoa wa kwetu kwenye nchi ya Vurugu???


haya mambo sijui majeshi yetu yameenda komoro, sijui kenya, sijui tunapekea wakimbizi rwanda sijui nini.. mimi sielewi kabisa tutafuta fisa toka kwa nani... swala la znz ni tete kwanza kurudisha umeme tu ilikuwa mbinde... muda wowote mambo yatalipuka...watu wanakufa njaa, magonjwa na upuuzi wa namna hiyo kibao... EPA... richmond tunaviweka kando... watu wataacha mdomo wazi hapa kwetu kutakapo lipuka..
 
Mkuu hapo tupo pamoja swala la zimbabwe linaweza kusubiri tumalize kwanza ya kwetu yanayotuumiza vichwa. kwa kutoa angalizo tu ni kwamba Serikali yetu ifunge ubalozi wetu kule kama wao na itoe tamko kwa watanzania wanaoishi zimbabwe warudi kwanza nyumbani mpaka hapo hali itakapotulia. KODI wanayosaga wabunge pale Dom kwa siku inatisha wakiongeza tena siku kwa swala la ZIMb mmhh!! itatuumiza. Kama wao wamemwondoa balozi wao kwenye nchi ya amani sisi tunachelea nini kumtoa wa kwetu kwenye nchi ya Vurugu???

hilo haliitaji longolongo...JK nikutoa agizo tuu
 
Matatizo yetu hayatufungi kujadili matatizo ya jirani zetu ! vita ikitokea Zimbabwe, watanzania wakauawa Zimbabwe, Askari wetu wakalazimika kwenda Zimbabwe atakaebakia akijadili EPA na RMond pekee nani? yote yajadiliwe na yachangiwe kwa kiwango cha hoja!
 
JK, as always, is doing his characteristic number, identified by a plethoric indecisiveness and plaguing sitting-on fence that at the end of the day is doing nothing but alienating him and Tanzania not only from Mugabe supporters, but also his opposers. Right now Mugabe opposers are saying JK is not doing what he needs to while Mugabe himself took offense after Membe's comments, as rightfully foreseen by yours truly, so much so that he recalled his ambassador from Dar.

I am not a big fan of the good book as "word of god", but I have great respect for its mythological effect (just as I have for Shakespeare, Shaaban Robert, Dickens and Mark Twain) and one of the more poignant verses are on the subject of unacceptability of lukewarm believers.

Kikwete, by concealing his position through a thinly veiled dissaproval statements by Membe and unreturned late night presidential calls to Mugabe, is being unacceptably lukewarm.

Revelation 3:14-19 (KJV)

And unto the angel of the church of the Laodiceans write; These things saith the Amen, the faithful and true witness, the beginning of the creation of God; I know thy works, that thou art neither cold nor hot: I would thou wert cold or hot. So then because thou art lukewarm, and neither cold nor hot, I will spue thee out of my mouth. Because thou sayest, I am rich, and increased with goods, and have need of nothing; and knowest not that thou art wretched, and miserable, and poor, and blind, and naked: I counsel thee to buy of me gold tried in the fire, that thou mayest be rich; and white raiment, that thou mayest be clothed, and [that] the shame of thy nakedness do not appear; and anoint thine eyes with eyesalve, that thou mayest see. As many as I love, I rebuke and chasten: be zealous therefore, and repent.
Revelation 3:14-19 (KJV)

I hope this motion among other similar measures will rightly pressure the JK administration to speak with a firm, uneiquivocal voice against the Mugabe tyrannycal thuggery and moreover, carry the clout of Tanzania as a regional powerhouse and current AU president in mobilizing action to salvage the sad and utterly unnecessary meltdown of yet another African nation.
 
..Bunge letu la bajeti lisipoteze muda wake kujadili mgogoro wa Zimbabwe.

..Watanzania tuna matatizo yetu kibao ya ndani ni bora kuelekeza bongo na nguvu zetu kuyatafutia ufumbuzi kuliko kuhangaika na masuala ya Wazimbabwe.
 
Zimbabwe has played a smart card in being the first to recall its ambassador to Tanzania. Now if TZ does a similar mover, it will be seen as reacting to the zimbabwean move, that rendereing the whole thing meaningless! Tanzania was supposed to move first, and Membe should have expected this. Not exactly checkmate.
Zitto pse carry on the good work.
 
Nasoma pia kwamba Changarai amebwaga manyanga na kwenda kuomba hifadhi ubalozi wa uholanzi. Nasoma leo ofisi za MDC zimepigwa tera mbaya na mtu kibao wametiwa ndani na militias wa dictator Mugabe. Ameapa kuwamalizia mbali wapinzani.
 
Bunge Backs Tough Stand On Zimbabwe


The Citizen (Dar es Salaam)


NEWS
21 June 2008
Posted to the web 21 June 2008

By Tom Mosoba
Dar es Salaam

A parliamentary committee yesterday endorsed the Government's tough stance on Zimbabwe, saying it fully supports the official sentiments of the members of the Southern African Development Community (Sadc).

The chairman of the Parliamentary Committee for Foreign Affairs, Security and Defence, Mr Wilson Masilingi, said they agreed with the official denunciation of the state-sponsored violence just a week before the election run-off pitting President Robert Mugabe against MDC candidate Morgan Tsvangirai.


The statement issued by the MP for Muleba at the National Assembly in Dodoma was in response to Foreign Affairs and International Co-operation minister Bernard Membe's warning in Dar es Salaam on Thursday that Tanzania was appalled by President Mugabe's style, which threatened to plunge the country into chaos.

Nominated MP Anna Abdullah said that while the Government's statement was positive, it had, however, taken too long for it to denounce the breakdown of law and order and condemn the rampant human rights abuses in Zimbabwe.

Speaking to The Citizen, Mr Masilingi and Ms Abdullah said that "even though Zimbabwe is a sovereign state, Tanzania has a historical stake and can, therefore, not keep quiet as that country spirals into anarchy".

Earlier, in her contribution to the Budget debate, Ms Abdullah said: "It's good that the Government has issued a condemnation of Zimbabwe even though this should have come earlier. Tanzania, as the current chair of the African Union, must be in the forefront in condemning what is going on in Zimbabwe."

Later, she told The Citizen that President Mugabe deserved to be condemned by his fellow African leaders for trying to cling to power by force.

"Our country supported Zimbabwe's struggle for independence but it was not so that he could become the President for life," she said.

Zimbabwe, she added, was neither a chieftainship nor a kingdom.

"Democracy and the rule of law must be respected," she said, denouncing recent reports that quoted Mr Mugabe and his wife, Grace, threatening not to hand over power should he be defeated in run-off poll.

Mr Masilingi said he had been shocked by a report of the Sadc political committee, which confirmed gross human rights abuses and mounting insecurity against the people of Zimbabwe and election monitors.

"We share the Government's concern and urge the relevant organs of the Sadc member countries follow closely all that is happening in Zimbabwe."

The MP said President Mugabe must cooperate with fellow regional leaders to make sure the re-run election was free and fair.

"It is in the interest of the people of Zimbabwe as well as the region to have peaceful and democratic elections," Mr Masilingi said.

In an indication that gone are the days when Zimbabwe took Tanzania's support for granted, Foreign minister Membe on Thursday cast doubt on the possibility of a free and fair election on June 27.

He told journalists in Dar es Salaam: "I want to tell you what I told fellow Southern African Development Community (Sadc) members. We have got evidence that the elections will not be free and fair."

He added: "Zimbabwe has been our great friend. We have stood by them since the Lancaster agreement on land issues in 1980, but on governance issues, we have started to differ with the incumbent president."

Last week, President Mugabe vowed to "go to war" to prevent the Movement for Democratic Change from taking power - as the race for the presidency entered its final phase.

"We are prepared to fight for our country and to go to war for it," he told a rally of cheering supporters.
 
Kwa hiyo unataka kusema Mh. Zitto ametudanganya wananchi na Bunge???

Can somebody verify what Zitto said pls? Too many misquotations.

All in all, the bigger picture presented by the motion is a much needed pressure from parliament to the executive on this issue.
 
JAMBO LA DHARURA
kanuni ya 47 na 48 ya Kanuni za Bunge

Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa kanuni ya 47 na 48 ya Kanuni za kudumu za Bunge Toleo la mwaka 2007, ninaomba kuwasilisha hoja kuwa Bunge liahirishe shughuli zake ili kujadili jambo la dharura.

Mheshimiwa Spika, jambo hili linahusu Zimbabwe.

Mheshimiwa Spika, Mara baada ya Mawaziri wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika SADC kukutana na kujadili hali tete ya Zimbabwe na mara baada ya kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Mheshimiwa Bernard Camillius Membe (Mb) kwamba uchaguzi wa Zimbabwe hautakuwa huru na haki, Serikali ya Zimbabwe imechukua hatua ya kumwondo Balozi wake nchini.

Katika shughuli za Kidiplomasia, hatua ya nchi kumwondoa Balozi wake kufuatia matamko ya nchi mwenyeji ni sawa na kutangaza mgogoro wa Kidiplomasia.

Mheshimiwa Spika, mpaka hapa ninapowasilisha hoja hii, Serikali ya Tanzania bado haijachukua hatua yeyote kuhusu Balozi wetu aliyepo huko Harare. Mtanzania huyu tuliyemtuma kumwakilisha Rais na nchi yetu nchini Zimbabwe aweza kuwa katika hali ya hatari.

Mheshimiwa Spika, Zimbabwe na watu wa Zimbabwe ni marafiki zetu wa siku nyingi. Tanzania imeisaidia sana Zimbabwe katika juhudi zake za ukombozi na chama kilicholeta ukombozi nchini humo na Chama cha TANU na baadae CCM ya Mwalimu Nyerere walikuwa na urafiki wa kindugu. Kwa kweli hali ya sasa ya Zimbabwe haivumiliki na ni aibu kwa Umoja wa Afrika.

Mheshimiwa Spika, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mheshimiwa Wilson Masilingi na Mheshimiwa Anna Abdallah (Mb) wamezungumza humu Bungeni kuhusu hali tete ya Zimbabwe na kuunga mkono kauli ya Serikali yetu.

Mheshimiwa Spika, chama cha MDC chini ya Kiongozi wake ndugu Morgan Tsvangirai wamejitoa katika uchaguzi na hivyo kusababisha hali ya Zimbabwe kuwa tete zaidi. Vitendo anavyofanya Robert Mugabe vya uvunjifu wa makusudi wa haki za binaadamu na kanuni za demokrasia lazima vilaaniwe kwa nguvu zote. Kama Robert Mugabe na chama chake cha ZANU PF hawawezi kuachia madaraka wakishindwa uchaguzi na kwamba wapo tayari kuingia vitani, ni kwanini waliitisha uchaguzi. Viongozi kama akina Mugabe ambao walikuwa na heshima kubwa na Mfano wa kuigwa kwa viongozi vijana wa Afrika, wanapofanya vitendo kama anavyofanya sasa wanatutia aibu na kulichafua bara la Afrika.

Mheshimiwa Spika, natoa hoja sasa kwamba Bunge lijadili kwa ufupi hali ya Zimbabwe na kwamba Balozi wa Tanzania aliyepo Harare arudi nyumbani mara moja ili kuionesha Zimbabwe, Afrika na Dunia kwa ujumla kwamba Tanzania ipo thabiti katika kulinda demokrasia na haki za binaadamu.

Naomba kutoa hoja,


Kabwe Zuberi Zitto (Mb)
Kigoma Kaskazini.
 
Last edited:
JAMBO LA DHARURA
kanuni ya 47 na 48 ya Kanuni za Bunge

Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa kanuni ya 47 na 48 ya Kanuni za kudumu za Bunge Toleo la mwaka 2007, ninaomba kuwasilisha hoja kuwa Bunge liahirishe shughuli zake ili kujadili jambo la dharura.

Mheshimiwa Spika, jambo hili linahusu Zimbabwe.

Mheshimiwa Spika, Mara baada ya Mawaziri wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika SADC kukutana na kujadili hali tete ya Zimbabwe na mara baada ya kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Mheshimiwa Bernard Camillius Membe (Mb) kwamba uchaguzi wa Zimbabwe hautakuwa huru na haki, Serikali ya Zimbabwe imechukua hatua ya kumwondo Balozi wake nchini.

Katika shughuli za Kidiplomasia, hatua ya nchi kumwondoa Balozi wake kufuatia matamko ya nchi mwenyeji ni sawa na kutangaza mgogoro wa Kidiplomasia.
Mheshimiwa Spika, mpaka hapa ninapowasilisha hoja hii, Serikali ya Tanzania bado haijachukua hatua yeyote kuhusu Balozi wetu aliyepo huko Harare. Mtanzania huyu tuliyemtuma kumwakilisha Rais na nchi yetu nchini Zimbabwe aweza kuwa katika hali ya hatari.

Mheshimiwa Spika, Zimbabwe na watu wa Zimbabwe ni marafiki zetu wa siku nyingi. Tanzania imeisaidia sana Zimbabwe katika juhudi zake za ukombozi na chama kilicholeta ukombozi nchini humo na Chama cha TANU na baadae CCM ya Mwalimu Nyerere walikuwa na urafiki wa kindugu. Kwa kweli hali ya sasa ya Zimbabwe haivumiliki na ni aibu kwa Umoja wa Afrika.

Mheshimiwa Spika, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mheshimiwa Wilson Masilingi na Mheshimiwa Anna Abdallah (Mb) wamezungumza humu Bungeni kuhusu hali tete ya Zimbabwe na kuunga mkono kauli ya Serikali yetu.

Mheshimiwa Spika, chama cha MDC chini ya Kiongozi wake ndugu Morgan Tsvangirai wamejitoa katika uchaguzi na hivyo kusababisha hali ya Zimbabwe kuwa tete zaidi. Vitendo anavyofanya Robert Mugabe vya uvunjifu wa makusudi wa haki za binaadamu na kanuni za demokrasia lazima vilaaniwe kwa nguvu zote. Kama Robert Mugabe na chama chake cha ZANU PF hawawezi kuachia madaraka wakishindwa uchaguzi na kwamba wapo tayari kuingia vitani, ni kwanini waliitisha uchaguzi. Viongozi kama akina Mugabe ambao walikuwa na heshima kubwa na Mfano wa kuigwa kwa viongozi vijana wa Afrika, wanapofanya vitendo kama anavyofanya sasa wanatutia aibu na kulichafua bara la Afrika.

Mheshimiwa Spika, natoa hoja sasa kwamba Bunge lijadili kwa ufupi hali ya Zimbabwe na kwamba Balozi wa Tanzania aliyepo Harare arudi nyumbani mara moja ili kuionesha Zimbabwe, Afrika na Dunia kwa ujumla kwamba Tanzania ipo thabiti katika kulinda demokrasia na haki za binaadamu.

Naomba kutoa hoja,


Kabwe Zuberi Zitto (Mb)
Kigoma Kaskazini.

JE HILI LINA UKWELI WOWOTE....?
BALOZI MWENYEWE (na sio zitto) ANASEMAJE KUHUSIANA NA KURUDI KWAKE ZIMBABWE....!
 
Na Bunge Limekataa Hoja Ya Zitto Kuwa Suala La Zimbabwe Ni Dharura....!
Suala Lake Limepelekwa Kwenye Kamati Husika.....!
tusikuze Mambo Jamani....!
 
BALOZI MWENYEWE (na sio zitto) ANASEMAJE KUHUSIANA NA KURUDI KWAKE ZIMBABWE....!

Sio balozi mwenyewe anasemaje. Kama Zimbabwe haijatuambia sisi au dunia kwamba wanamuita nyumbani balozi wao, basi sio official.

I hope and pray for Zitto, kwamba alicho kisema Bungeni, kakipata kutoka kwenye official communication ya Zimbabwe.
 
JE UBALOZI WA ZIMBABWE UMEFUNGWA...?
JE KUNA 'chajhe de za feh' BADALA YA HIGH COMMISSIONER.......?
JE WAMESITISHA SHUGHULI ZA KIBALOZI.....at the office...?
wabunge wana msemo wao
WITHOUT RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK
 
Back
Top Bottom