Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kwa hiyo Dr Abbas halioni kabisa!
Hii idara naichukia sana ila basi tu sina namna
Yeye ndo mhariri pamoja na Msigwa.Kwa hiyo Dr Abbas halioni kabisa!
Awamu ya 5 ndio serikali isiyo na aibu kuliko zote duniani na kiukweli Tiss inatumiwa kishamba sana ! kuna haja ya kubadilisha uongozi wake wa juuNimeiona hii habari nikasema Zitto kaamua kuwalipia na nikasita hata kuileta humu.
Wacha tuone kama watathubutu kumshitaki maana hii tuhuma ni nzito sana.
Kuna mtu ni mfujaji mkubwa wa fedha za umma na hana mfano.
Umasikini wa akili ndio umasikini mkubwa kuliko wote - JK NYEREREZitto nakwambia mwaka huu utakuwa kichaa haki ya nani! Hebu fikiria kashifa unazotoa kwa vyombo vyetu Vya ulinzi huku ukitegemea chama chako kushika dola Mbona unaharibu sasa?
Au umekata tamaa kiasi cha kuamua kukifuta chama chako act wazalendo? Naamin una shida kichwani siyo bure