Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) inayoongozwa na Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chadema, imewatimua Tanzania Standard (TSN) wanaoendesha gazeti la Daily News na Habari Leo ya serikali kwa kuwa na hesabu mbovu.
TSN ambao wanaongozwa na Kaimu Mhariri Mtendaji, Mkumbwa Ally, wameelezwa kwenye kamati kuwa wana hesabu mbovu, hawakusanyi madeni na hawaretire masurufu.
"Tumewatimua. 0.6bn not retired. Madeni 2.6bn! Wamenunua system mbovu. Wamenunua secondhand cars over priced,"
Kuhusu NSSF kamati imewakatalia NSSF kupiga mnada mali za general tyre.
"POAC has stopped NSSF plan to auction assets of General Tyre (EA) Ltd. Auctioning won't serve broader national interest. Priority- REVIVE it!" Amesema Zitto ktk twitter.
TSN ambao wanaongozwa na Kaimu Mhariri Mtendaji, Mkumbwa Ally, wameelezwa kwenye kamati kuwa wana hesabu mbovu, hawakusanyi madeni na hawaretire masurufu.
"Tumewatimua. 0.6bn not retired. Madeni 2.6bn! Wamenunua system mbovu. Wamenunua secondhand cars over priced,"
Kuhusu NSSF kamati imewakatalia NSSF kupiga mnada mali za general tyre.
"POAC has stopped NSSF plan to auction assets of General Tyre (EA) Ltd. Auctioning won't serve broader national interest. Priority- REVIVE it!" Amesema Zitto ktk twitter.