Lukwangule
Senior Member
- May 25, 2009
- 157
- 2
Leo ilikuwa siku ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutangaza wapi anawania kati ya majimbo matano aliyokuwa ameyataja mwanzo. Majimbo hayo ni Kahama, Geita, Kinondoni, Kigoma Mjini na Kigoma Kaskazini.
Hata hivyo katika mkutano wa Geita ambao alisema kwamba atatamka amewaomba watanzania kumpatia muda wa wiki mbili ili kukamilisha utafiti wake.
Zitto alisema kutokana na utafiti wa awali waliofanya wataalamu wake aliowapa kazi ya kuangalia jimbo analokubalika ameyaondoa majimbo mawili kati ya matano aliyoyataka na kubakiza matatu.
Majimbo aliyoyaondoa ni ya kinondoni na kahama na kubakiza ya Geita, Kigoma mjini na Kigoma Kaskazkini.
Hata hivyo katika mkutano wa Geita ambao alisema kwamba atatamka amewaomba watanzania kumpatia muda wa wiki mbili ili kukamilisha utafiti wake.
Zitto alisema kutokana na utafiti wa awali waliofanya wataalamu wake aliowapa kazi ya kuangalia jimbo analokubalika ameyaondoa majimbo mawili kati ya matano aliyoyataka na kubakiza matatu.
Majimbo aliyoyaondoa ni ya kinondoni na kahama na kubakiza ya Geita, Kigoma mjini na Kigoma Kaskazkini.