Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Hatimae Wabunge wa CHADEMA wametekeleza agizo la Kamati Kuu la kumvua nyadhifa yake bungeni muda mfupi uliopita!
Ikumbukwe kabla ya kuvuliwa wadhifa huo Mh. Zitto alikuwa Naibu kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni inayoongozwa na Mh. Freeman Mbowe.
Ikumbukwe kabla ya kuvuliwa wadhifa huo Mh. Zitto alikuwa Naibu kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni inayoongozwa na Mh. Freeman Mbowe.