Gwota
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 205
- 92
Wadau
CCM baada ya kupata taarifa ya kuwa kijana machachari ZTTO ZUBERI KABWE mwenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi watu ametua igunga jana wameamu kupeleka vilaza wao wengine Janaury Makamba na mukama ili kujarbu kunusuhuru hali mbaya wanayoipata kutokana na kasi kali ya CHADEMA.
CCM hawana chao tena igunga tunasubiria km wana ubavu wakamvue chenge na lowasa ili tukabebe tena majimbo yao.
CCM baada ya kupata taarifa ya kuwa kijana machachari ZTTO ZUBERI KABWE mwenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi watu ametua igunga jana wameamu kupeleka vilaza wao wengine Janaury Makamba na mukama ili kujarbu kunusuhuru hali mbaya wanayoipata kutokana na kasi kali ya CHADEMA.
CCM hawana chao tena igunga tunasubiria km wana ubavu wakamvue chenge na lowasa ili tukabebe tena majimbo yao.