naona wengi mnakimbia ukweli. kama alivyokuwa mrema wa vunjo, ndivyo alivyokuwa zito, alimuunga mkono mgombea wa chama tofautu na kumgeuzia kisogo mgombea wa chama chake (kafulila) na kushinda. TLP na CHADEMA anzeni kutafakari kuwa kikulacho ki-nguoni mwako