Zitto atoa pole kwa IGP Sirro kuhusiana na vifo vya askari huko Kigoma

Hayo matatizo yametokea ni baada kuona watanzania wengi wamekosa watetezi wakweli. na kuona ni bora waanze kujitetea wenyewe kutoka kwa mkoloni mweusi.
 
"Nimepata Taarifa za askari polisi 4 kupoteza maisha huko Malagarasi Wilayani Uvinza, mkoani kwetu Kigoma. Nafuatilia kujua chanzo cha mapambano kati ya Polisi na Wananchi, na pia kujua maafa upande wa Wananchi. Kwa sasa Nachukua nafasi hii kumpa pole IGP Sirro na Askari wote"

Ameandika Zitto kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Yajayo yanafurahisha !




Katika hiyo kadhia ninamuomba ZZK, awe muangalifu sana asije "akachanganywa" humo kwa kuambiwa ni Yeye aliyechochea hiyo kadhia.

Nahofia asije kubambikizwa huo "MSALA".

Bro, ZZK be very vigilant we still love you and our country still needs your contributions as there so many things and issues ahead of us within our country that need to be done.
 
ZITO YUPO SAHII
ASKARI KUFA KAZINI IMEKUWAISHUU KUBWA NA KAMWE HAIKUBARIKI,BUT HATUAMBIWI NI RAIA WANGAPI WALIUWAWA KATIKA SAKATAN HILI, HIZIHABARI ZA KUSIKIA UPANDE MMOJA NA KULAUMU WATU WANAOTAKA KUJUA NA UPANDE WAPILI UKOJE NDO TRUMP ANAITA ''FAKE NEWS'' ''MEDIA SPINNING'', KUNA BAD PEOPLE BOTH SIDE THAT WHAT I CAN TELL
ZZK HONGERA KUWAZA KWA MAPANA
 
Ila Polisi ni wezi sana,kuna mtu aliwahi kuuwawa nikiwa kijiji fulani wakati huo!Sasa Ikabidi polisi waje kusomba watuhumiwa,aiseee kila waliyekutana naye barabarani ilikuwa halali yao!Walimpiga na kumtupa kwenye karandinga!Watu wengi waliacha biashara zao na kujifungia majumbani!Hapo walibeba biashara za watu kama matunda na nafaka zilizotelekezwa na wananchi eneo la biashara!Walivunja hadi mafriji ya vinywaji na kupora vinywaji!Waliingia kwenye majumba ya watu na kupekua,walichokutana nacho kama ni fedha au kitu cha thamani walibeba,kuba mtu alikuwa amejificha juu ya paa la nyumba yake,akawashuhudia polisi wakiingia na kupira simu zake na fedha taslimu!Aliamua kukaa kimya ili wasimtie nguvuni!
Katika habari hii nimesoma kuwa Polisi walipora mali za wananchi na nyingine kuteketeza kwa moto!
Suala hili laweza kuwa liliwaumiza wananchi na kuamua kufight back!
Tunawapa pole wafiwa,ila uchunguzi usio na mihemko ufanyika kuzuia incident ya namna hii huko mbele!
 
Umerudi baada ya mission kukamilika with less outputs!!!
mission gani mchawi wewe??? unataka kurudi kwenye matapishi yenu kwa zitto ni msaliti? mnataka asiongee zuri lolote lile!!

huna aibu, mnafiki, umeona shida zitto kuandika hivyo? nyie ndio hata maofisini mnachukiwa

haujapata muda hata kujua nini kilitokea na kwa nini kaandika hivyo!!

ajabu sana
 
Kama wamekufa askari wanne basi kwa upande wa wafugaji itakuwa mara tatu yake....wafanye uchunguz huko porini kutakuwa na miili inaharibika na watu hawajui.
 
Huo ndio unongozi,japo wenzio ulioanza nao wanakuona msaliti.

Ni vyema ujue chanzo,na usaidie kutafuta suruhu kama kiongozi,sio kibwabwaja tu ukiisikilizia serikali.
 
RIP
Ila Polisi ni wezi sana,kuna mtu aliwahi kuuwawa nikiwa kijiji fulani wakati huo!Sasa Ikabidi polisi waje kusomba watuhumiwa,aiseee kila waliyekutana naye barabarani ilikuwa halali yao!Walimpiga na kumtupa kwenye karandinga!Watu wengi waliacha biashara zao na kujifungia majumbani!Hapo walibeba biashara za watu kama matunda na nafaka zilizotelekezwa na wananchi eneo la biashara!Walivunja hadi mafriji ya vinywaji na kupora vinywaji!Waliingia kwenye majumba ya watu na kupekua,walichokutana nacho kama ni fedha au kitu cha thamani walibeba,kuba mtu alikuwa amejificha juu ya paa la nyumba yake,akawashuhudia polisi wakiingia na kupira simu zake na fedha taslimu!Aliamua kukaa kimya ili wasimtie nguvuni!
Katika habari hii nimesoma kuwa Polisi walipora mali za wananchi na nyingine kuteketeza kwa moto!
Suala hili laweza kuwa liliwaumiza wananchi na kuamua kufight back!
Tunawapa pole wafiwa,ila uchunguzi usio na mihemko ufanyika kuzuia incident ya namna hii huko mbele!
yaaaaaan hata ratio yao kati ya polisi na mwananchi nahisi polisi mmoja anatakiwa apigane na watu 1000....wajaribu kutuliza munkari wapeleke mambo kihekima
 
kweli mkuu me mwenyew yashanikutaga ayo, polisi waonevu sana, walikuja hom kwaishu nyingine wakankamata namimi kisa nmevaa singlend mchana wajua kali tena npo nyumbani kabisa nlkuwa nmelala nkachezea makofi, nkabebwa juu mpaka kwenye gar lao, wkanchania hadi nguo, wakavunja hadi sim yangu kisa nmevaa singlend. ingekuwa sio wazee kuniombea msamaha ngeenda kulazwa rumande siku hiyo
 
Huo ndio unongozi,japo wenzio ulioanza nao wanakuona msaliti.

Ni vyema ujue chanzo,na usaidie kutafuta suruhu kama kiongozi,sio kibwabwaja tu ukiisikilizia serikali.
Siku agenda ikiwa nyingine,muone hivyo hivyo kama kiongozi!
 
Back
Top Bottom