Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwahiyo na hiyo ni habari?
"Nimepata Taarifa za askari polisi 4 kupoteza maisha huko Malagarasi Wilayani Uvinza, mkoani kwetu Kigoma. Nafuatilia kujua chanzo cha mapambano kati ya Polisi na Wananchi, na pia kujua maafa upande wa Wananchi. Kwa sasa Nachukua nafasi hii kumpa pole IGP Sirro na Askari wote"
Ameandika Zitto kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Yajayo yanafurahisha !