Zitto atoa kauli juu ya Zuio la Gesi ya Tanzania kuingia nchini Kenya

Soko letu la ndani lina mahitaji makubwa sana hasa mikoa ya magharibi kama Kigoma/Kagera.Wengi katika maeneo hayo wangependa kutumia gesi kwa kupikia lakini upatikanaji haujarahisishwa kwa kiasi kikubwa.Kama soko Kenya linalipa hivyo,basi humu ndani kwa logistic hiyo hiyo wanaweza kuingiza hata zaidi ya Kenya. Nchi hiyo ya jirani kwa sasa iko kwenye kampeni ya kununua na kutumia bidhaa za kwao,Kwa maana hiyo watakuwa wanapambana kulinda soko la viwanda vyao na ule utaratibu wetu uliozoeleka wa soko Holera.biashara ni mbinu ila mwamuzi ni mnunuzi hapa.
Wasindikaji wa gesi na wasambazaji ningewaomba wawe makini na hatua hizi za ushindani wa soko na kama wanataka kuliteka soko la Kenya basi wafuate huo utaratibu uliowekwa ila mzigo unaotumwa Kenya uwe mkubwa. Waswahili wanasema samaki mkaange kwa mafuta yake mwenyewe.
sijawai ona mTanzania mwenye akili nzuri kama wewe. you are one in a million.
hongera.
 
It took Big Up I support u 100 percent wakenya maruhuni ah crooks in English wamezuia watanzania madaktari wasiajiriwe kenya magufuli jibu mapigo kila mkenya mwenye kibali cha kufanya kazi Tanzania kikiisha usimpe kingine na kuanzia sasa piga marufuku serikali au shirika la umma kununua bidhaa kenya na sekta binafsi kuajiri wakenya au kutoa leseni za biashara kwa wakenya pia wakenya wote wanaofanya kazi Tanzania Kwrnye Ngo au mashirika ya dini vibali vyao vikiisha warudi kwao wawaachie wazawa watanzania.Magufuli kwa hili be very serious tubaki na waganda wanyarwanda na warundi let Kenyans go to hell. it took pigania hilo hata bungeni tuko pamoja
wazo lako bonzo kabisa. heri ungekua aborted utupwe jaani kwa jinsi unavyofikiria
 
Sasa mm sijaelewa mbona hapo wanasema gesi iwe inapitia bandarini na si kwengineko
Wao kila kitu wanapitishia bandarini? Wana kampuni yao ya kupaki magari ilala na uwanja wa ndege dar hiyo kampuni ilipitia Bandarini? Kingunge mtanzania mwenzetu kanyanganywa tenda ya kupaki magari na wakenya please Magufuli heri apewe hiyo tenda mtanzania mwenzangu kingunge hata Kama siivi naye kisiasa kuliko kumpa mkenya maruhuni hao wakenya wakimaliza muda wasipewe tenda tena hata kama pesa watakazotupa ni nyingi kuliko kampuni za wazawa
 
Tanzania na Kenya are long rivarls toka kwa kipind ile tunanyanganyana Mali za former EAC, na Kenya amekuwa sio MTU wa kuipromote region but someone who promote himself.... Taking examples na issue nyng ambazo huwa ni joint ventures au vtu ambavyo yye hamiliki na kuclaim ni vyake(refers to the might migration na Kilimanjaro mountain). Hyo inamaanisha uhusiano wa EAC umekaa kipolitical zaid na sio..economically..hamna mutual relationship kwa nchi zetu. moja inatumia advantage ya mwingne n then surpass effort ya mwngne anapojitahd kuinuka...That's to say faida katka ushirikiano wa EAC ni mdgo. Some countries are SEGREGATIVE by nature like KENYA....Hyo inanfanya nisiamin uwepo wa EAC na sion economic benefit yake zaid ya kubase zaid kwenye political issues
kwa hii dunia, inafaa uwe macho my friend... sio kulalia masikio na kungoja kuletewa. infact you should blame your 'ujamaa' goverment for your underdevelopment. Kenyans are a very hardworking lot and they take advantage of every business opportunity. work on your lazy bums
 
Zitto shida yako ata sikuelewagi mda mwingine.
Zitto ni ngumu sana kumuelewa ....Yaani mi ndio simuelewi kabisaaaaa hasa suala la Mkumbo kuteuliwa na magufuli halafu yeye anaunga mkono ndio kanifanya nisijihangaisha hata kutaka kumuelewa
 
MHESH.ZITTO hongera sana.Wewe kweli ni mbunge wa upinzani mwenye uzalendo na ubunifu wa hali ya juu.Mambo kama haya Lissu hawezi na hajawahi kuyasema.Amejikita zaidi kwenye kukosoa sentensi za viongozi wa serikali.
 
Sasa mm sijaelewa mbona hapo wanasema gesi iwe inapitia bandarini na si kwengineko
Thanks for your question.
The move is meant to eliminate Illegal cooking Gas Filling Plants which have cropped up in various parts of the country posing SAFETY and SECURITY RISKS.
 
Only a poor Tanzanian can blame Kenya and Kenyans for his/her woes. It is time for you to wake up and be creative. Tengenezeni bidhaa zenu za soko na muzifanyie marketting mujaribu ku-conqure E. Africa. Sio ati mulielie kana kwamba mumechezewa rafu kila saa. Mukilala, mutalaliwa.
 
Naona wizara ya mambo ya nje haina watu wa uchumi na press cutting ya habari za kimataifa.
Habari kama hii baada ya kutolewa na kenya ilipaswa wailete kwa waziri wa nje mh maiga na waidiscus na yule wa viwanda na fedha na uchumi na kuja na kauli moja ya nchi.
Zitto kabwe anadtahili nishani ya heshima ya miaka 53 ya Muungano,ana ona,ana ibua mijadara ambayo taasisi zetu wanaolipwa kwa kodi kwa kodi zetu wamelala.
 
Ukepigwa ngumi ya sikio na wewe mpige ngumi ya pua kisha muulize unajisikiaje?
 
Uamuzi huu wa Kenya ni kinyume na misingi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo Tanzania na Kenya ni wanachama. Kwa mujibu wa Itifaki ya Soko la Pamoja, bidhaa za nchi zetu zinaruhusiwa kusambaa ndani ya jumuiya bila vikwazo.
Ama kweli mkuki kwa nguruwe, hivi Tanganyika inasahau inavyoikandamiza Zanzibar kwa kuiwekea vikwazo bidhha zinazo zalishwa Zanzibar(eg maji ya Drop, sukari, Maziwa ) kuingia Bara ijapokuwa mnadai kuwa hii ninchi moja. Eti inalinda bidhaa zinazozalishwa ndani (Tanganyika).
 
Kila mtu analinda vya kwake vya ndani,mbona Bashite alivyopiga marufuku uuzwaji Wa filamu za nje hakuna mchumi wala mbunge yeyote aliyeonyesha kujali saana na kukemea!! Hata waziri mwenye dhamana tu kaufyata, Tanzania ni kubwa kama kweli gesi yetu ni nafuu sambazeni hadi vijijini huko sio lazima kwao, Zito baadhi ya matamko yako hayana nafasi katika serikali hii ambayo ni haisikii la kuambiwa
Kama tunataka free market economy basi na sie tuache kukataza vya wenzetu
Jamani kama jambo hulielewi si heri unyamaze? Kwani lazima ucomment kwa kila jambo? Zitto ameongea kwa mukhtadha wa Ushitikiano ndani ya Jumuiya ya Africa Mashariki. Kila nchi mwanachama 'anawajibika' kuruhusu bidhaa za wanachama wengine kuingia kwenye solo lake. Hivyo Kenya inakiuka. Pili gesi yetu haiwezi kuuzwa vijijini kwa sababu hakuna wenye uwezo wa kumudu gharama yake achilia mbali mifumo ya kuisambaza. Hata mijini bado ni wachache wanaotumia gesi. Wengi wanatumia mkaa.
 
Siwaongelei bongo Movie ila ninachojaribu kusema "mtenda akitendewa huisi ameonewa"
Kiongozi mmoja amewatendea watanzania walalahoi kwa kuzuia mrija wa mkate wao Wa kila siku kwa ajili ya kulinda vya ndani lakini hakuna aliyeonyesha kujali
Sasa Kenya nao wameamua kuzuia kama alivyozuia yule basi kelele juu
Acha kuwa na akili kama mange
Uliambiwa zimekatazwa au zinatakiwa zilipe kodi kama za ndani mukishaitwa nyumbu basi hamutumii akili hata kidogo
 
Kumbe gas yenyewe ni ya kuagiza ............. Hivi gas yetu ya mtwara tutaanza kuiuza lini!!?
 
Absolutely ZZK. Scratch my back, I scratch yours!! Time for bullying each other are over. Kenya has many advantages in manufacturing industry as compared to Tanzania. They should never try to deprive us the little advantage we have!!
In things economic or business, negotiations are the answer. One of the techniques of negotiating is to start from the extreme end in the hope that the point of agreement will still be in your favor.
 
Tuvunje hii jumuia haina maana
Hapa ndio utaona haja ya kuwa na wabunge wa Afrika Mashariki wenye ukomavu na akili ya kulisemea taifa kwenye mambo muhimu.

Spika Ndugai aliziita nafasi za uwakilishi 'fursa' na hili litatutafuna kama nchi. Yaani kwa mujibu wa CCM, CDM walipaswa 'kutoa fursa' kwa chipukizi. Sasa ndio tutaelewa kuwa tunahitaji uwakilishi na sio ushosti na uchama. Hao Wakenya wanajua kujali maslahi yao.
 
Wakati wa Jk Mwishoni, Kenya Walizuia Madereva kutoka Tanzania kubeba Watalii kutoka Kenya nae Jk akawakomesha kwa kupunguza Trip za Kenya Airways kati ya Kenya na Tanzania.

Kenya ilirudisha Mpira kwa Kipa ikakubali Yaishe!

JPM nae arudishe Mapigo!
 
Back
Top Bottom