Just be careful guys! Kuna account feki siku hizi, are u sure ni Zito Kabwe kweli aliyepost hivyo!? Sidhani! Hapo kuna mchezo unachezwa.
Sasa mambo yako wazi kwamba CCM imeshinda Igunga baada ya upande wa pili yaani Chadema kukiri hivyo. Hayo yamesemwa na Zitto katika ukurasa wake wa Twitter ameandika hivi:
We have lost the election. Chadema conceded NOT. Contemplates petition.
Follow the link: Twitter
wadau naibu katibu mkuu wa CDM bara Zitto Kabwe katika twitter amekiri kushindwa kwa chadema katika uchaguzi mdogo wa Igunga. soure Zittokabwe@twitter.com au www.zittokabwe.com
wadau naibu katibu mkuu wa CDM bara Zitto Kabwe katika twitter amekiri kushindwa kwa chadema katika uchaguzi mdogo wa Igunga. soure Zittokabwe@twitter.com au www.zittokabwe.com
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@Irenei2011 hali imerudi kuwa shwari
26 minutes ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@MariaSTsehai haina shida @jmakamba @islam66 iwekwe hapa
57 minutes ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@JMakamba I have the letter with me nitakupa @islam66 @mariastsehai
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@JMakamba walikuwa wanapita kwenda halmashauri. Vijana wenu wakawavamia
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe
@omarilyas vijana wa chadema walikuwa wanakusanyika katika ofisi na kambi ya chadema kupata maelezo ya viongozi. Polisi wamekuja kusambaza
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe
Polisi wanarusha mabomu kusambaza wafuasi wa chadema ambao wamekusanyika hapa kambini kwetu kusikiliza viongozi
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe
Duh yanapigwa mabomu kila mtu hoi machozi tu. Tumo hapa kambini kwetu Planetel Hotel ni machozi tu
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe
Mabomu yanapigwa. Hali mbaya sana
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@shurufu irregularities nyingi sana
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@Mwanakili90 kuna vurugu zatokea.
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@chiefezra our count gives us 45% and ccm 49%. Irregularities are mountanious
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@matokeo taarifa rasmi bado.
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@BetsonBrighton tunakubalika sana vijijini. Tatizo ni turnout. Watu wajue umuhimu wa kura na wasiuuze shahada. Low turnout imetuua
1 hour ago
»
zittokabwe Zitto Zuberi Kabwe @
@SueMbise matokeo yetu tuliyojumlisha
2 hours ago