..Zitto tuondolee nonsense politics zako hapa ,kwanza sheria nyingi za madini zilizopitishwa wakati ule ndio hizo hizo tuu zinazofanya kazi sasa,badala ya kupigana zibadilike unadai misamaha huku Barrick/Geita etc wakiendelea KUJICHOTEA kwa sheria hizo hizo hadi leo,lakini atleast wewe unajitahidi kuliko yule mjinga mjinga Peter Lowassa Serukamba