Nampenda sana Mbunge kijana, machachari na mahiri, Zito Kabwe. Lakini katika wazo la kusema kuwa Tanzania ivunje uhusiano na mataifa yanayoishambulia Libya ambalo Kabwe amelitoa leo Bungeni, amekosea. Kwanza ni lazima afahamu kuwa Nato pamoja na marafiki zao ndio wanaowezesha bajeti ya tanzania kwa sehemu kubwa. Plili miradi mingi ya huduma na maendeleo inapata pesa kutoka kwa washirika hao. Kwa hiyo kufuta 'diplomatic relations' na watu hao ni sawa na kuiua serikali ya CCM. Jambo hilo haliwezekani hata kidogo. Wana jamii mnasemaje katika hilo.