Mbona CUF ilikuwa na nguvu Zanzibar ila sasa ni mahututi?
Ni baada ya Maalim Seif na kundi lake la akina Ismail Jussa kuiacha CUF.
Hata ACT as long as Zitto ana support ya Ismail Jussa na wenziwe chama hakiwezi kuja chini, Ila siku Zitto akiwachafua hao jamaa ACT nayo itazikwa kama ilivyozikwa CUF