Zitto asikiliza maoni ya mwana JF,apunguza safari za Liverpool ili kuleta maendeleo Kigoma

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,478
20,394
Kutoka JF siku ya jana ambapo memba mmoja alilalamikia tabia ya mbunge Zitto Kabwe kutumia mamilioni ya shilingi kwenda Uingereza kuishabikia timu yake ya Liverpool pamoja na mambo mengine kutumia kiasi kikubwa cha pesa kukaa front row katika uwanja wa Anfield huku akiishi katika hoteli za nyota nne na nyota tano,pamoja na chakula na vinywaji huku akishindwa kuinunulia timu ya jimbo lake jezi ambazo hazifiki hata laki 5.

Zitto Kabwe ameonesha kujali na kutaka kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo baada ya kuamua kufuata maoni ya memba huyo ambapo amekubali kununulia jezi timu ya Mashujaa wa lake Tanganyika jezi nyekundu ambazo thamani yake bado haijawa wazzi.
Wakuu tutumie vizuri JF.
— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) September 28, 2018
 
Mi ninachojua alienda huko Liverpool kwenye mkutano wa Chama cha Labour kama sijakosea, sina hakika kama kila week anaenda huko kuangalia mpira
 
Ni haki yake yeye kuwa mbunge haimzuii kiishi maisha mengine nje ya siasa.wewe mwenyewe unapenda kuiona timu yako pendwa MAN U.sema huna chapaa
 
Mi ninachojua alienda huko Liverpool kwenye mkutano wa Chama cha Labour kama sijakosea, sina hakika kama kila week anaenda huko kuangalia mpira
Ndio mnataka kuaminisha vilaza kwa style hii?
 
Kutoka JF siku ya jana ambapo memba mmoja alilalamikia tabia ya mbunge Zitto Kabwe kutumia mamilioni ya shilingi kwenda Uingereza kuishabikia timu yake ya Liverpool pamoja na mambo mengine kutumia kiasi kikubwa cha pesa kukaa front row katika uwanja wa Anfield huku akiishi katika hoteli za nyota nne na nyota tano,pamoja na chakula na vinywaji huku akishindwa kuinunulia timu ya jimbo lake jezi ambazo hazifiki hata laki 5.

Zitto Kabwe ameonesha kujali na kutaka kuendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo baada ya kuamua kufuata maoni ya memba huyo ambapo amekubali kununulia jezi timu ya Mashujaa wa lake Tanganyika jezi nyekundu ambazo thamani yake bado haijawa wazzi.
Wakuu tutumie vizuri JF.
— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) September 28, 2018
Hakutoa machozi?
 
Back
Top Bottom