NCCR MAGEUZI wamemuahidi Uenyekiti wa Chama na agombee urais mwaka 2015 kama walivyofanya kwa AL.Mrema. Dogo bado analitafakari hili ingawa kuna nguvu kubwa ya marafiki zake wa CCM wanaotaka kumsajili kwa udi na uvumba!! CUF nao wanamtaka kwa mgongo wa udini, wanapiga chapuo eti waislamu hawako salama wakiwa CHADEMA!!!! Kwa kweli nchi hii imelaaniwa kama mambo yenyewe ndiyo haya!!
Huyu dogo mwisho atachanganyikiwa na sijui mtasema nani kamloga!
Mbona tunaongelea sana umri wa Zitto nasema hata angekuwa na miaka 60 mwaka huo hafai kuwa kiongozi wa kitaifa anavyopenda pesa huyu kwa tamaa zake anaweza hata kutuuza wazima wazima.2015 Zitto atakuwa na umri wa miaka 39 ambayo inamkosesha sifa ya kugombea urais! Usitufunge kamba hapa!
ha ha ha ha!Mafioso hawashindwi, watampa kidonge cha diclochacha wangwexin
"watakwenda na kurudi".
Umewashuka.