Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ulitaka wazee wote wachadema wawemo kwenye hiyo kamati...Mi naona wamefanya vizuri kumuacha Mtei ili haki itendeke na kusiwepo na mashaka kwa sababu inaonyesha kuna kutokuelewana kati ya Zito na Mbowe ambae ni mkwe wa Mtei...Ndesamburo nae hakuwepo kwenye siku husika ingawa inadaiwa aliaga......Hapo naona chadema wanagawanyika hat a katika level ya wazee, zee mtei nje, ndesamburo nje, na winging tuliwazoea... Kuna makundi mawili ya wazi, chagga oriented na opposite yake anyways like Alexander the Great once said :"i am not afraid of an army of lions led by a sheep but worry about anarmy of sheep lead by a lion". Naona chedema Freeman ni sheep