Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,094
- 4,396
Mbona watu humu ndani mmetokea kumchukia Zitto? Hamkumbuki yeye ndiye aliyefanya chadema ipendwe na vijana??
Mkuu CHADEMA inapendwa na vijana si kwaajl ya Zitto bali ni sera na dira ya chama chao na watu watu wenye upeo wa kuongea ushuhuda wenye nuru na mstakabari wa Nchi hii kv huduma ya elimu bure, afya, malazi n.k ndicho kinatuvutia tuipende CDM kuwa inamwelekeo wa kile sisi Taifa la Leo nakesho tuhitaji.
Hata zitto alijiunga CDM kwa kuvutiwa na Manifesto ya CDM.