Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,391
- 39,490
Mwanachama mwenzetu na Mbunge wa Kigoma Kaskazini ameombwa kushiriki katika panel ya wabunge wa Kimataifa duniani. Tafadhali soma barua ya uteuzi wake na nyaraka ya majukumu yake hayo. Kuteuliwa kwake kujiunga na panel hiyo ni heshima kubwa kwake kama Mbunge kijana lakini pia ni ishara ya jinsi nyota yake njema inavyozidi kuangaza. Hongera na kazi njema.