Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,100
- 313
Habari nilizopata hivi punde, Waziri wa nishati na madini Wiliam Geleja amesema serikali haitataifisha mitambo ya DOWANS, AMEDAI SERIKALI INA MIPANGO THABITI YAKUTATUA TATIZO LA UMEME NCHINI.
Kama ni kweli, Mbona anaongelea UVUNGUNI?