Nakuunga mkono kaka, haiwezekani uwe amiri jeshi mkuu halafu watu wakuburuze. Hata mimi najua kuwa kuna watu watawajibishwa kwa kufuata kanuni na sheria.
Na alivyodharauliwa zitto hata kwenye hitimisho hoja yake haijaguswa. Mpe pole
Mtu kama hakuanguka hawezi kuburuzwa Rais kama anaendesha mambo yake kwa makini haburuzwi
Peleka ujinga huko mwizi wewe anataka nini kwani wewe unataka nini?!! mipesa yote hiyo mnaiba tu mna laana nyie mnatishia watu sasa hivi mtaona moto hamtaiba tena
Serikali yetu ni makini na sikivu, imepokea na itayafanyia kazi kulingana na taratibu husika
zitto unatafuta nn Ww?, mbona nakuhurumia kabla? Kuwa mwangalifu.
Mungu atawalaani tu wataondoka mmoja mmoja, maisha ya watanzania yanayopotea kwa ulafi wao .. utawarudi tu .. ngoja tuone kati ya MUNGU na huyo KIKWETE wenu nani zaidi...
MAsikini zitooooooooooooooooooooooooooooo
siasa sio kutumia nguvu misuri mpaka inatoka by ANa makinda
Mungu ibariki Tanzania