Maria Nyamhanga
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 130
- 25
Ukiitwa mbea au mzushi utakuwa umeonewa mkuu?Taswira lakini wewe si ndiye Zitto Kabwe mwenyewe
Ukiitwa mbea au mzushi utakuwa umeonewa mkuu?Taswira lakini wewe si ndiye Zitto Kabwe mwenyewe
unakurupuka sana shabikiWe ndo mnafiki usiyependa na kukubali ukweli. Zitto ni image ya vjana makini katika taifa hili na Chadema. Kumchukia akutaondoa ukweli huo.
Kweli akili za wana chadema sawa sawa na za kuku zinasahau upesi majuzi tu mlimtusi kila tusi huyu kiumbe kiongozi na mfadhili wa masalia leo amegeuka lulu ama kweli wajinga ndio waliwao
He he he he heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Eti mie nilidhani ni umati wa watu kweli!
Umiza akili bwana mdogo,usitake kuletewa kila kitu kama mama wa nyumbani,Taswira ndiyo Zitto Kabwe kama hautaki hacha
kweli zitto karudi kazini kama hata taswira sasa hivi anaisifu chadema kama taasisi na wala si mtu mmoja hapo safi. Jamani sisi wanachadema tunampenda sana zitto akiwa kama sehemu ya taasisi. Ukosoaji huwa unaanza pale anapotafuta mamabo yake . Zitto bado tunakuthamini sana