MTAKA HABARI
Senior Member
- Jan 17, 2019
- 123
- 149
Naamini Jamii Forums inawanachama wa vyama vyote,kwanini wabunge wa CCM hamji kumwaga data humu jamvini?
Zitto mbona tunamkimbiza sana hapa JF, wabunge waje kutafuta nini humu wakti wananchi wapiga kura wa wabunge wa CCM tupo makini kujibu kila uongo wa mtu yeyote. Nadhani waendelee kuhimiza maendeleo kwenye majimbo yao, acha sisi tupambane na wanafiki na waongo kama akina Zitto.Naamini jamii forum inawanachama wa vyama vyote,kwa nini wabunge wa ccm hamji kumwaga data humu jamvini?
walete hoja zao kama wanazoNaamini jamii forum inawanachama wa vyama vyote,kwa nini wabunge wa ccm hamji kumwaga data humu jamvini?
Mi sioni kosa wakizileta hapaData ziko ofisin mzee sio kwenye mitandao ya kijamii
Zitto mbona tunamkimbiza sana hapa JF, wabunge waje kutafuta nini humu wakti wananchi wapiga kura wa wabunge wa CCM tupo makini kujibu kila uongo wa mtu yeyote. Nadhani waendelee kuhimiza maendeleo kwenye majimbo yao, acha sisi tupambane na wanafiki na waongo kama akina Zitto.
Hii ni shule wanatakiwa waje.kwani humu sikuna wapiga kura wao
Hahaha Zitto ni liongo sana, yaani ni bonge la liongo. KIbaya 2020 lilishatoswa ubunge hapo KGM, sasa anahaha kuanzisha habari za uongo uongoZito hawezi kuwa muongo kwa maneno yako,waje wafia chama wapambane
Naomba nisikujibu ila hii itakupa jibu sahihiNaamini jamii forum inawanachama wa vyama vyote,kwa nini wabunge wa ccm hamji kumwaga data humu jamvini?
Mfyoooooo mfyuuuuu nyooooooooo kooooooZitto mbona tunamkimbiza sana hapa JF, wabunge waje kutafuta nini humu wakti wananchi wapiga kura wa wabunge wa CCM tupo makini kujibu kila uongo wa mtu yeyote. Nadhani waendelee kuhimiza maendeleo kwenye majimbo yao, acha sisi tupambane na wanafiki na waongo kama akina Zitto.
Majority ya wabunge hao ni BBC yaaniNaamini jamii forum inawanachama wa vyama vyote,kwa nini wabunge wa ccm hamji kumwaga data humu jamvini?
Mfano yule bwege na msukuma wakija humu watatupa kipi kipya?Naamini jamii forum inawanachama wa vyama vyote,kwa nini wabunge wa ccm hamji kumwaga data humu jamvini?