Vyombo vya habari vimeripoti kwamba Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zubei Zitto anataka Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mukulo ajiuzulu ili kupisha uchunguzi wa vyombo vya dola kuhusu tuhuma za kusitisha utendaji wa Bodi ya Shirika la Hodhi ya Mashirika ya Umma.
Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.
Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.