Zitto anataka magazeti yamshinikize Waziri Mkulo kujiuzulu?

Kamura

JF-Expert Member
Apr 26, 2011
506
52
Vyombo vya habari vimeripoti kwamba Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zubei Zitto anataka Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mukulo ajiuzulu ili kupisha uchunguzi wa vyombo vya dola kuhusu tuhuma za kusitisha utendaji wa Bodi ya Shirika la Hodhi ya Mashirika ya Umma.

Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.
 
Vyombo vya habari vimeripoti kwamba Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zubei Zitto anataka Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mukulo ajiuzulu ili kupisha uchunguzi wa vyombo vya dola kuhusu tuhuma za kusitisha utendaji wa Bodi ya Shirika la Hodhi ya Mashirika ya Umma.

Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.

Aisee bado tuna kazi sana kama mawazo yetu ndio haya tena kwenye jukwaa linalojipambanua kuwa the home of great thinkers sijui...kinachoniumiza ni kwamba hakuna mabadiliko kwa watanzania,unaweza ukadhani kuwa labda as time goes on people altitude might change,but nothing new.Mkuu jaribu kuleta hoja kama great thinker kidogo,hizo hoja ni mipasho tu,sioni la maana hapo.Kabwe alikuwa anaongea na vyombo vya habari kuwapa taarifa,sasa ulitaka akatoe msimamo wake wapi? kwenye kamati ya chama,au bungeni? Tuache kukurupuka na kuleta hoja za kizembe ni aibu kwako pia japo yawezekana kwasababu hatufaamiani ndio maana kuna hoja nyingi uharo hapa JF....
 
Vyombo vya habari vimeripoti kwamba Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zubei Zitto anataka Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mukulo ajiuzulu ili kupisha uchunguzi wa vyombo vya dola kuhusu tuhuma za kusitisha utendaji wa Bodi ya Shirika la Hodhi ya Mashirika ya Umma.

Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.
How old are you Kamura?
 

Aisee bado tuna kazi sana kama mawazo yetu ndio haya tena kwenye jukwaa linalojipambanua kuwa the home of great thinkers sijui...kinachoniumiza ni kwamba hakuna mabadiliko kwa watanzania,unaweza ukadhani kuwa labda as time goes on people altitude might change,but nothing new.Mkuu jaribu kuleta hoja kama great thinker kidogo,hizo hoja ni mipasho tu,sioni la maana hapo.Kabwe alikuwa anaongea na vyombo vya habari kuwapa taarifa,sasa ulitaka akatoe msimamo wake wapi? kwenye kamati ya chama,au bungeni? Tuache kukurupuka na kuleta hoja za kizembe ni aibu kwako pia japo yawezekana kwasababu hatufaamiani ndio maana kuna hoja nyingi uharo hapa JF....
Tatizo tumekuwa mabingwa wa kulalama bila kuchukua hatua. Sasa kama Mbunge ambaye ni miongoni mwa watunga sheria analalama kwenye magazeti bila kuchukua hatua stahiki, Mkulo atafanywa nini? Usitegemee ajiuzulu kama utaratibu wa kumsababisha ajiuzulu haujafuatwa.
 
Vyombo vya habari vimeripoti kwamba Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zubei Zitto anataka Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mukulo ajiuzulu ili kupisha uchunguzi wa vyombo vya dola kuhusu tuhuma za kusitisha utendaji wa Bodi ya Shirika la Hodhi ya Mashirika ya Umma.

Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.

Jaribu kuwa makini kwenye kusoma habari na kuielewa. Zitto amemuomba Mkullo apishe uchunguzi akiwa na maana Mkulo asiweke cumbersum kwenye uchunguzi unaofanyika na sio kujiuzulu. Think critically Mr.Green Guard.
 
Tatizo tumekuwa mabingwa wa kulalama bila kuchukua hatua. Sasa kama Mbunge ambaye ni miongoni mwa watunga sheria analalama kwenye magazeti bila kuchukua hatua stahiki, Mkulo atafanywa nini? Usitegemee ajiuzulu kama utaratibu wa kumsababisha ajiuzulu haujafuatwa.
1. Kwa mawazo yako unadhani Zitto alipaswa kuchukua hatua gani?
2. Kwa nini unaona hatua ya Zitto kqwenda kwenye vyombo vya habarui na kuliwe hili wazi kwa watanzania wote kuwa si kuchua hatua?
 
Jaribu kuwa makini kwenye kusoma habari na kuielewa. Zitto amemuomba Mkullo apishe uchunguzi akiwa na maana Mkulo asiweke cumbersum kwenye uchunguzi unaofanyika na sio kujiuzulu. Think critically Mr.Green Guard.
Source Mwananchi: Huko alikokwenda kulalamika ndiko wamemnukuu kwamba anataka Mkulo ajiuzulu sasa wewe unasema anataka apishe uchunguzi maana yake ni nini?
 
1. Kwa mawazo yako unadhani Zitto alipaswa kuchukua hatua gani?
2. Kwa nini unaona hatua ya Zitto kqwenda kwenye vyombo vya habarui na kuliwe hili wazi kwa watanzania wote kuwa si kuchua hatua?
Hilo suala linatakiwa litafutiwe ufumbuzi bungeni na hatua stahiki zichukuliwe kama ilivyokuwa kwa Jairo.
 
Zitto alichofanya ni kuutarifu umma uozo wa Mkullo wala si vinginevyo.

Ni kweli lakini kwa mtu makini hutakiwi kutoa tuhuma ukaishia hapo unatakiwa kuonyesha way-foward, huo ndio Ugreat Thinker.
 
Mkulo naye ni kati ya mawaziri ambao hawako active kabisa ,yupo tuu anchekacheka tu mweee tz mungu atusaidie
 
kamura hebu toa utoto wako hapa..nenda kavae nepi huko huna unachokijua unasumbua watu tu hapa....
 
kamura hebu toa utoto wako hapa..nenda kavae nepi huko huna unachokijua unasumbua watu tu hapa....
Jibu hoja si kutoa lugha ya kifedhuli. Tatizo watu hamtaki kuliangalia hili suala kwa upana wake na manaishia kutukana tu, Zitto aligusia hili suala kwenye Bunge la Bajeti na ninachofahamu CAG inachunguza suala hilo sasa unaposema silijui unamanisha nini?
 
Tatizo tumekuwa mabingwa wa kulalama bila kuchukua hatua. Sasa kama Mbunge ambaye ni miongoni mwa watunga sheria analalama kwenye magazeti bila kuchukua hatua stahiki, Mkulo atafanywa nini? Usitegemee ajiuzulu kama utaratibu wa kumsababisha ajiuzulu haujafuatwa.

Nimegundua tatizo lako,una shida ya kutofautisha malalamiko na kutoa taarifa kwa umma,unapaswa kujua kuwa Zitto anapaswa kuripoti kwa waandishi ili umma upate habari,sasa kama ulitaka Zitto akaongee na mke wake nyumbani basi sema hapa.Tofautisha kutoa habari na kulalamika,na kwa nafasi yake kama M/kiti wa kamati ya kudumu ya mashirika ya umma alipaswa kuonyesha msimamo wake baada ya kutofautiana na mawazo ya waziri.....kusema kuwa ang'atuke sio kulalamika ila ni mawazo ya kujenga na kumaliza tatizo......acha kuleta hoja bila kufikiri mkuu!!!
 
Jibu hoja si kutoa lugha ya kifedhuli. Tatizo watu hamtaki kuliangalia hili suala kwa upana wake na manaishia kutukana tu, Zitto aligusia hili suala kwenye Bunge la Bajeti na ninachofahamu CAG inachunguza suala hilo sasa unaposema silijui unamanisha nini?

Kuna msemo mmoja unasema"Kama mtu hajui na anajiona hajui msaidie,kama kuna mtu hajui na anajifanya anajua achana nae".....tafakari chukua hatua....
 

Nimegundua tatizo lako,una shida ya kutofautisha malalamiko na kutoa taarifa kwa umma,unapaswa kujua kuwa Zitto anapaswa kuripoti kwa waandishi ili umma upate habari,sasa kama ulitaka Zitto akaongee na mke wake nyumbani basi sema hapa.Tofautisha kutoa habari na kulalamika,na kwa nafasi yake kama M/kiti wa kamati ya kudumu ya mashirika ya umma alipaswa kuonyesha msimamo wake baada ya kutofautiana na mawazo ya waziri.....kusema kuwa ang'atuke sio kulalamika ila ni mawazo ya kujenga na kumaliza tatizo......acha kuleta hoja bila kufikiri mkuu!!!

Anachofanya Zitto ni kutafuta cheap popularity tu.
 
Kamura said:
Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.

Kwa manufa ya wale tusiojua tartibu au kama wewe ndio Ungekuwa zitto
  • Tuelezee na tufafnulie nini ungefanya ?
 
Back
Top Bottom