nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
Vyovyot vile unavyotaka kupindisha mambo lakini Zitto hakulalamika.HAKUNA sentensi katika kauli yake inayoonyesha kulalama.Nahofia wewe una undugu na Mkulo so umetumwa kumsafisha humu.
Asikuchanganye huyo Kamura, habari zenyewe hafuatilii anapiga chuki zake tu hapa. Mwananchi ya j5 ilisema kwamba wamempigia na akajibu kwamba angezungumza na wahandishi siku inayofuata.