Zitto anataka magazeti yamshinikize Waziri Mkulo kujiuzulu?

Kamura
Nilitaka nieleze kidogo kuhusu swala hilo la CHC ambalo alilielezea Zitto kwenye vyombo vya habari,nimeamua nisifanye hivyo kwa sababu unajifanya kwamba unajua na hutaki kueleweshwa
 
Unataka kutuambia Zitto ana tabia za UDUKUZI? unasema ripoti imekemilika 90% maana yake ni kwamba haijakamilika na haijatolewa rasmi yeye tayari ana majibu. Ana hidden interest katika suala hili kama ilivyo kuwa Barrick.
Endeleza chuki zako, sisi tunaprotect national interest. Hufuatilii habari ujue hiyo 10% iliyobaki ni nini. Umetaka akae kimya mpaka ripoti ikabidhiwe kwa Mkullo ndio aongee? Tungejuaje Mkulo kavunja bodi na kakataa kuhojiwa na auditors?
 
Kamura
Nilitaka nieleze kidogo kuhusu swala hilo la CHC ambalo alilielezea Zitto kwenye vyombo vya habari,nimeamua nisifanye hivyo kwa sababu unajifanya kwamba unajua na hutaki kueleweshwa

Unaweza kuwaga data za CHC humu jamvini hakuna nayekuzuia.
 
Sioni tofauti kati ya Zitto, Mchungaji Mtikila na Waandishi Makanjanja kwa sababu hao wote ukiwapo mshiko (fedha) wataongea mpaka mishipa iwatoke,

Nilifikiri umeleta hoja hapa jamvini, kumbe ni personal attack na upotoshaji. Kasma unakumbukumbu, Mh.Zitto ndiye aliyelishupalia hili Bungeni mpaka kuambiwa amedanganya Bunge. Leo hii UMMA umejua ukweli unataka Mh.Zitto anyamaze ili madudu haya yapite. Uwe na subira utamjua vizuri huyu jamaa.
 
Vyombo vya habari vimeripoti kwamba Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Kabwe Zubei Zitto anataka Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mukulo ajiuzulu ili kupisha uchunguzi wa vyombo vya dola kuhusu tuhuma za kusitisha utendaji wa Bodi ya Shirika la Hodhi ya Mashirika ya Umma.

Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.

mod thread nyingine ni za kufunga... Hopeles, poor thnkin... We al need 2 knw abt this, no way u cn avoid 2 use media hata ukiwa bungeni... Al in al dd u heard zitto anaomba media imsaidie kumtoa Mkulo madarakan...
 
mod thread nyingine ni za kufunga... Hopeles, poor thnkin... We al need 2 knw abt this, no way u cn avoid 2 use media hata ukiwa bungeni... Al in al dd u heard zitto anaomba media imsaidie kumtoa Mkulo madarakan...

Tafsiri ya Zitto kwenda kwenye media ni seeking symphaty ya Watanzania na kutaka kuungwa mkono na media kwa kuandika habari, makala na kurusha vipindi ambavyo vinaonyesha kuwa Mkulo si msafi. Sasa huko si kuomba msaada wa media. Ninacho shauri ni kwamba ili hoja ya Ziito kupata msukumo stahiki afuate utaratibu kama alivyoibua hoja hiyo bungeni. Lengo hapa si kumtetea Mkulo.
 
Kamura unataka hii ishu ichelewe mpaka iwe too late to avoid mistakes kama ilivyojitokeza kwenye ishu zingine kama richmond eti kwakuwa kufuata utaratibu! Haiwezekani tatizo linabidi litatuliwe kabla halijaleta madhara, na hiki ndicho alichofanya ndugu ZZK. Pia ametujuza watanzania nini kinaendelea na nini tutegemee kwenye kikao kijacho cha bunge kuhusu ishu hii.
 
Zitto ni mtu makini na anajua sana anachokifanya. CAG anasema report ya CHC imeshakamilika kwa asilia 90, that means anytime itakuwa teyari kukabidhiwa. CAG alipewa kazi hiyo na bodi ambayo Mkullo ameshaivunja, inamaana bila bodi maamuzi yanafanywa na mwenye mali (TR), so wangekabidhiwa ripoti wafukie madudu yao, saizi Zitto ameshaweka wazi hawawezi kufanya hivyo tena, naamini Zitto hawezi kusema kwenye press report ipelekwe bungeni halafu akakaa kimya, lazima atakua ameshafanya official communication bungeni ili CAG aagizwe kuwakilisha report hiyo bungeni. That's how smart people works...
How did you figure that?
 
Mimi ninavyofahamu waadishi walimpigia simu kuhusu kuwepo kwa taarifa hizo(sakata la CHC) wakitaka maoni yake.Yeye(Zitto) akawajibu kuwa atazungumza na wanahabari ili kueleza kilichojiri.Sasa mkuu Kamura mimi sijaona tatizo hapo kwa kuwa alichofanya ni kuutarifu umma kupitia wanahabari na yeye kutoa msimamo wake kuwa Mkulo apishe uchunguzi.Katika kutazama kwangu mambo haya sijaona mahala ambapo Zitto kalalamika.
Nadhani tujifunze kuwa wakweli tunaporipoti mambo serious kama haya.
Zitto kashafanya hatua yake kuujuza umma.Je wewe kama mwananchi umechukua hatua gani kuhusu kashfa hiyo au kwako weye hatua ni kumshutumu tena Zitto!?
 
haaah haaah magamba bana,wakisikia kamanda toka cdm ananguruma wanaweweseka kweli,hv Tambwe Hiza amepotelea wapi?
 
Mimi ninavyofahamu waadishi walimpigia simu kuhusu kuwepo kwa taarifa hizo(sakata la CHC) wakitaka maoni yake.Yeye(Zitto) akawajibu kuwa atazungumza na wanahabari ili kueleza kilichojiri.Sasa mkuu Kamura mimi sijaona tatizo hapo kwa kuwa alichofanya ni kuutarifu umma kupitia wanahabari na yeye kutoa msimamo wake kuwa Mkulo apishe uchunguzi.Katika kutazama kwangu mambo haya sijaona mahala ambapo Zitto kalalamika.
Nadhani tujifunze kuwa wakweli tunaporipoti mambo serious kama haya.
Zitto kashafanya hatua yake kuujuza umma.Je wewe kama mwananchi umechukua hatua gani kuhusu kashfa hiyo au kwako weye hatua ni kumshutumu tena Zitto!?

Zitto hakupigiwa simu na waandishi yeye mwenywe aliitisha mkutano wa waandishi wa habari.
 
Ninasema Zitto anataka magazeti yamshinikize Mkulo kustaafu kwa sababu anafahamu utaratibu wa kisheria kama Mbunge ambao anatakiwa kufuata ili Mkulo ajiuzulu. Utaratibu si kuchonga domo kwenye magazeti.

Mkuu ni role ipi ya Zitto inayomkataza asiongee na Magazeti (wananchi kupitia magazeti)...?!! Je..?
Ni Zitto Waziri Kivuli?
Zitto Mbunge ?
Zitto Mwananchi ?
Au Zitto Mpinzani ?

Na asipotumia nguvu zake zote kuhakikisha kile anachokiamini kinatendeka huoni kwamba atakuwa hajafanya kazi wala kutendea haki nchi au yeye mwenyewe ?
 
Once again Tanzania politics.Zitto usituchang'anye tena na habari yako vi za vi Mkulo ambaye tu me ni kuwa nchi iko rehani.Issue ya Dowans bado inagonga vichwa vyetu hacha kutusahaulisha kwa sakata la Mkulo kujiuzulu.

Hii game iko kibinafsi sana ila inataka kuingizwa kwa watanzania ili kutu confuse.Tuna kumbuka ahadi zenu ambapo Zitto uliahidi kujiuzulu pindi itapobainika umehongwa na Bodi hiyo.Upande mwingine mwenzio Mkulo kacheza rafu kwanza kuifuta bodi hiyo kwa maana ya kupoteza ushahidi na ripoti itapokuja ionekane Zitto ulikula kitu kwa hao wanabodi,na hili la kususia posho litajengwa kuwa ndipo huko unapoponea ''rushwa''.

Tambua hii ni rafu, yakupasa ujipange yasije yakakurudi maake vita umeianza mwenyewe.Any way wote wataalam wa siasa za miti shamba (kigoma na kilosa) kabilianeni na msituchanganye sisi.
 
Zitto is seeking to boost his popularity after learning that his fame has dramatically shrinked due to allegations that he has secret ties with JK. His joint visit with JK to Sudan drew widespread criticism from the fault-finders and other pundits who were genuinely concerned with the relationship between the two political rivals. So by launching criticism against JK, the lawmaker apparently attempts to exculpate himself from his mistakes and thereby restoring his credibility which is heavily destructed.
 
Once again Tanzania politics.Zitto usituchang'anye tena na habari yako vi za vi Mkulo ambaye tu me ni kuwa nchi iko rehani.Issue ya Dowans bado inagonga vichwa vyetu hacha kutusahaulisha kwa sakata la Mkulo kujiuzulu.

Hii game iko kibinafsi sana ila inataka kuingizwa kwa watanzania ili kutu confuse.Tuna kumbuka ahadi zenu ambapo Zitto uliahidi kujiuzulu pindi itapobainika umehongwa na Bodi hiyo.Upande mwingine mwenzio Mkulo kacheza rafu kwanza kuifuta bodi hiyo kwa maana ya kupoteza ushahidi na ripoti itapokuja ionekane Zitto ulikula kitu kwa hao wanabodi,na hili la kususia posho litajengwa kuwa ndipo huko unapoponea ''rushwa''.

Tambua hii ni rafu, yakupasa ujipange yasije yakakurudi maake vita umeianza mwenyewe.Any way wote wataalam wa siasa za miti shamba (kigoma na kilosa) kabilianeni na msituchanganye sisi.

Kumbe ni game! asante sana kwa taarifa hii nyeti.
 
Zitto hakupigiwa simu na waandishi yeye mwenywe aliitisha mkutano wa waandishi wa habari.
Vyovyot vile unavyotaka kupindisha mambo lakini Zitto hakulalamika.HAKUNA sentensi katika kauli yake inayoonyesha kulalama.Nahofia wewe una undugu na Mkulo so umetumwa kumsafisha humu.
 
Back
Top Bottom