TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,813
- 11,189
Jamani, tuwe waangalifu... hivi mnadhani zitto aliishia hapo kwenye hiyo hotuba??? Mbona tunakurupuka sana siku hizi
Ili kukamilisha hotuba na pia kuwa na mawazo wazi we must read the whole speech
Kumbukeni hata kwenye changamoto na hasa kwenye siasa huwa tunaanza na pongezi na baadae ndio tunaweka changamoto.... Lets not be like simba na yanga jamani, politics ni kwa faida ya watanzania na si chadema, kafu au ccm
msimamo mkali haujawahi kuleta maendeleo popote pale
Ili kukamilisha hotuba na pia kuwa na mawazo wazi we must read the whole speech
Kumbukeni hata kwenye changamoto na hasa kwenye siasa huwa tunaanza na pongezi na baadae ndio tunaweka changamoto.... Lets not be like simba na yanga jamani, politics ni kwa faida ya watanzania na si chadema, kafu au ccm
msimamo mkali haujawahi kuleta maendeleo popote pale