“Nimekua nyakati ambazo siasa ni ushawishi wa hoja. Nimejifunza siasa na kushiriki siasa wakati huo. Miaka 6 iliyopita ilikuwa migumu sana kwangu kwani siasa ilikuwa nguvu, vurugu, uporaji, mauaji nk. Ninafuraha sasa naona siasa za ushawishi zinarudi. Kwangu Mimi Uhuru huo UNATOSHA.” Zitto Kabwe.
NB:
Uhuru haupimwi kwa uchaguzi wa majimbo mawili, kwangu uhuru utapatikana siku tunapata, Tume huru ya uchaguzi uhuru wa vyombo vya habari, serikali inayoheshimu haki za binadamu, freedom of expression, Katiba Mpya.
Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
NB:
Uhuru haupimwi kwa uchaguzi wa majimbo mawili, kwangu uhuru utapatikana siku tunapata, Tume huru ya uchaguzi uhuru wa vyombo vya habari, serikali inayoheshimu haki za binadamu, freedom of expression, Katiba Mpya.
Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.