Zitto anasema Magufuli aliharibu uchumi kwa miaka 5, msikilize hapa akiwa na Magufuli akimsifia hadharani

Hiyo ni kweli jamaa aliiharibu nchi
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.
 
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.

Dini yake inamruhusu!
 
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.

Kwa kimombo cha kwetu ukichekeshwa sana mpaka ukagalagala chini huwa tunasema "..iseko isi nunu..."
 
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.

Na hii imekaaje?
 
Nadhani ndio tatizo la kushindwa kutofautisha kati ya kukosoa na chuki, watu wengi wamejijaza chuki na mwenye ni nadra kuona anakusifia hata ukifanya jambo zuri yeye hutaka kila siku akueleze kwa ubaya tu maana anakuchukia.
 
Mkitaka kuwafuatilia Wanasiasa watawatesa sana....wao wenyewe wanajua sifa kuu ya kuwa Mwanasiasa ni kuwa muongo.
 
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.

Nafasi za ubunge wa kuteuliwa zimekwisha . Atafute mengine
 
Sio Zitto pekee mwenye kauli mbilimbili katika wanasiasa wetu tulionao hapa,hata huyo Marehemu Magufuli mwenyewe wakati akiwa Waziri wa ujenzi alimsifia sana Rais Kikwete kipindi kile akisema "Mh Rais wapinzani wanasema eti unasafiri sana,mm nasema endelea kusafiri mh Rais ili tuendelee kujenga barabara ambazo watazitumia kuandamana.sisi tunajenga barabara wao waje kuzitumia kuandamana na hizi barabara ndio matunda ya safari zako."

Baada ya yeye kuwa sasa Magufuli kuwa Rais akabadili kibao akasema "kuna watu wanapenda kusafiri kwenda ulaya kuliko kwenda nyumbani kwao"

Baada ya hapo tukaanza kuona safari zisizoisha za kwenda chato,hivyo basi usiamini kila kitu ambacho mwanasiasa anasema akiwa mbele ya Rais.

Katiba yetu inamfanya Rais awe kama mungu mtu hivi,usimlaumu Zitto huyo Jiwe Mwenyewe alikuwa mnafki namba moja..
Katika uhalisia maraisi wa Africa
wana nguvu kutokana na katiba na utamaduni wa kuwafanya miungu watu sio rahisi kumkosoa Raisi alie madarakani
utarisk maisha yako au utatengenezewa matatizo majubwa sana na wapambe wake na vyombe vya dola na ndio maana ukosoaji unajitokea wakati wakitoka madarakani Zitto yuko sahihi na wakosoaji wengine wanaojitokeza sasa
 
Sio Zitto pekee mwenye kauli mbilimbili katika wanasiasa wetu tulionao hapa,hata huyo Marehemu Magufuli mwenyewe wakati akiwa Waziri wa ujenzi alimsifia sana Rais Kikwete kipindi kile akisema "Mh Rais wapinzani wanasema eti unasafiri sana,mm nasema endelea kusafiri mh Rais ili tuendelee kujenga barabara ambazo watazitumia kuandamana.sisi tunajenga barabara wao waje kuzitumia kuandamana na hizi barabara ndio matunda ya safari zako."

Baada ya yeye kuwa sasa Magufuli kuwa Rais akabadili kibao akasema "kuna watu wanapenda kusafiri kwenda ulaya kuliko kwenda nyumbani kwao"

Baada ya hapo tukaanza kuona safari zisizoisha za kwenda chato,hivyo basi usiamini kila kitu ambacho mwanasiasa anasema akiwa mbele ya Rais.

Katiba yetu inamfanya Rais awe kama mungu mtu hivi,usimlaumu Zitto huyo Jiwe Mwenyewe alikuwa mnafki namba moja..
Wew ni mpuuzi na zito wako hujui chochote

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.

Zitto Zuttu Zuzzu.
 
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.


248893095_109945061486324_4066502796358241732_n.jpg
 
Zito ni mnafiki tu kama wanafiki wengine nakumbuka ziara ya Magufuli kigoma alimsifia sana
 
Mimi ni mtu naependa consistency, mtu akishakua unpredictable siwezi kumuelewa.

Leo Zitto anashinda mitandaoni anamsema Marehemu Magufuli kwamba aliharibu uchumi, hakuna kitu alichofanya na kumbebesha lawama zote za udhaifu ama inefficiency ya serikali ya awamu ya sita kwamba ilisababishwa na Magufuli.

Msikilize hapa Zitto akimwagia sifa lukuki na sifa kede kede Magufuli enzi za uhai wake alipotembelea Kigoma. Zitto anakiri kua Magufuli amewapelekea watu wa kigoma maendeleo na anasema ushahidi ni idadi ama nyomi ya watu waliopanga msululu ama msafara barabarani kumlaki Magufuli.

Zitto anakiri kabla ya Magufuli watu wa kigoma hawakua na maji ila serikali ya Magufuli imewapelekea maji.

Leo hii Zitto anashinda mitandaoni kumtukana Marehemu Magufuli wakati enzi za uhai wake amemsifia mbele yake.

Zitto tunajua hupendi ama hutaki mama aonekane hana uwezo, sasa unashirikiana na wabaya wa Magufuli kuhamishia udhaifu wa serikali ya awamu ya sita na matatizo yake kwa Magufuli ila watu wenyewe wanaona kwamba hii serikali imeshindwa kabla haijaanza, failed from the start.

Miezi 6 tu hakuna umeme, hakuna maji, mafuta bei ghali, vifaa bei ghali na sio muda nchi itakosa chakula.

EeenHeee, mkuu 'Hakimu Mfawidhi', wewe unatumia tukio hilo la kumsifia Magufuli kumhukumu Zitto? Hapana.

Pamoja na kukubaliana na wewe moja kwa moja juu ya tabia za Zitto, lakini hilo tukio huwezi kulifanya ndilo liwe kipimo cha kuaminika kwa Zitto. Kwenye hadhara kama hiyo ni kawaida sana kufunika yale yasiyosemwa mbele za mhusika na badala yake kunakshia yale mazuri.

Ninakubaliana nawe pia kwamba tabia ya mtu ni ile 'consistency' anayokuwa nayo katika misimamo yake. Hapa ndipo sehemu nzuri zaidi ya kum'categorize' Zitto. Ukirudi nyuma katika historia yake ya kufanya siasa, kuna matukio mengi sana yanayombainisha kuwa siyo mtu wa kutegemewa sana katika uaminifu.
Sifa kuu aliyonayo Zitto ni uwezo wa kueleza na kufafanua mambo, hasa yanayohusiana na eneo lake la elimu. Laiti kama angekuwa na tahadhari ya kuchunga uaminifu wake, sifa hii ingemfikisha mbali zaidi kwenye nyanja ya siasa za Tanzania.

Lakini sasa imeanza kuonekana pia kwamba ni mtu mwenye tamaa ya kuzoa kwa manufaa yake au kundi analohusika nalo zaidi kuliko manufaa ya wananchi wa Tanzania kwa ujumla. Hapo awali alijitambulisha kuwa karibu zaidi na filosokia ya Mwalimu, lakini siku hizi anaonekana kuwa kwenye kambi ya wapigaji walioko kwenye kambi ya Kikwete!

Sasa Zitto tumuweke wapi? Maslahi ya taifa hili, au maslahi ya makundi yanayofaidika na ulanguzi wa mali za taifa hili?
 
Back
Top Bottom