utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
katika orodha ya wabunge watakaoongea bungeni mchana huu kuchangia katika mjadala wa wizara zilizopo chini ya ofisi ya rais ikulu ni zitto zubeir kabwe, mpambanaji. tufuatilie mchango wa mwanasiasa huyu mahiri, dira na role model ya vijana.
tunategemea mchango constructive wenye mtizamo wa kitaifa kutoka kwa gwiji huyu wa siasa snsyevuma sana hapa nchini.
tunategemea mchango constructive wenye mtizamo wa kitaifa kutoka kwa gwiji huyu wa siasa snsyevuma sana hapa nchini.